Chalamanda, JKT Tanzania kimeeleweka | Mwanaspoti

TAARIFA zinabainisha kuwa, JKT Tanzania imefanikiwa kunasa saini ya kipa wa Kagera Sugar, Ramadhan Chalamanda kwa kumpatia kandarasi ya miaka miwili. Kagera ambayo haikuwa na msimu mzuri 2024-2025, imeshuka daraja baada ya kumaliza nafasi ya 15, matokeo yaliyoipeleka kikosi hicho kushiriki Ligi ya Championship msimu ujao. Chalamanda ambaye alikuwa kipa namba moja kikosini hapo, ni…

Read More

92 wafa sababu ya kuharibika kwa mimba

Dodoma. Katika kipindi cha mwaka 2022 hadi 2024 jumla ya wanawake 92 walipoteza maisha kutokana na changamoto mbalimbali zilizosababishwa na kuharibika kwa mimba, Bunge limeelezwa leo Januari 31, 2025. Naibu Waziri wa Afya ametoa takwimu hizo alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Fatuma Toufiq aliyeuliza ni watoto wa kike wangapi na wanawake…

Read More

Wiki ya AZAKI 2024 yazinduliwa rasmi Dar

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation For Civil Society (FCS), Justice Rutenge, amesema katika kutekeleza Dira ya Taifa 2050 wananchi wanapaswa kupaza sauti zao kwa kutoa maoni  yatakayopelekea kupata Dira bora kwa maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla. Rutenge ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi rasmi wa Wiki…

Read More