Polisi yanasa mtandao wa mauaji Dodoma

Dodoma. Watu wanne wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuhusika katika mtandao wa mauaji jijini Dodoma. Wanatuhumiwa kusababisha vifo vya watu wanane, huku watano wakijeruhiwa na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Waliokamatwa katika mtandao huo unaodaiwa kuhusika katika matukio manne ya mauaji yaliyotokea kati ya Julai mosi na Septemba 16, 2024…

Read More

AIRTEL YATANGAZA WASHINDI WA DROO YA SANTA MIZAWADI

Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano kutoka Airtel, Jackson Mmbando akizungumza jijini Dar Es Salaam leo Desemba  24, 2024, wakati wa kutangaza washindi wa Santa Mizawadi wa Airtel, zawadi hizo ni za  kusheherekea sikukuu ya Christimas pamoja na Airtel. Kushoto ni Meneja Masoko na Ubuni wa Airte Husein Simba. KAMPUNI ya Airtel imetangaza Washindi wa droo…

Read More