Cheza Kasino na Ufurahie Sloti ya Giant Wild

Giant Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia 50 za kulipa. Ili kupata ushindi wowote, lazima upate angalau alama mbili au tatu zinazofanana kwenye mstari wa ushindi. Mfuatano wa ushindi unahesabiwa kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia nguzo ya kwanza upande wa…

Read More

RAIS SAMIA APOKEA TUZO YA MAJI DUNIANI

 ::::::::: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Tuzo ya Presidential Global Water Changemakers 2025 ambayo alitunukiwa tarehe 13 Agosti, 2025 Cape Town, nchini Afrika Kusini.  Tuzo hiyo iliwasilishwa kwake na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo, Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 26…

Read More

Vijana waaswa kushauri panapostahili sio kufanya uchawa

Dodoma. Changamoto za kiuchumi kwa vijana zimetajwa kuwa ni kikwazo kwa vijana wengi kushiriki kwenye chaguzi mbalimbali, huku wakitakiwa kushauri pale panapotakiwa badala ya kung’ang’ania uchawa (tabia ya kujipendekeza). Mbunge wa Viti Maalum, Nusrat Hanje ameyasema hayo leo Mei 24, wakati akizungumza kuhusu mdahalo wa vijana utafanyika Mei 25, 2025 unaolenga kuzungumzia miaka mitatu ya…

Read More

Wazee wa Yanga Watoa Tamko, Wapinga Mchezo wa Derby Juni 15 – Video – Global Publishers

Dar es Salaam – Wazee wa Klabu ya Yanga wamejitokeza hadharani na kutoa tamko rasmi wakipinga vikali ushiriki wa klabu hiyo katika mchezo wa watani wa jadi (derby) unaodaiwa kupangwa kufanyika tarehe 15 Juni, 2025. Kupitia kikao maalum kilichofanyika jijini Dar es Salaam, wazee hao wamewaomba mashabiki na wanachama wa Yanga, hususan walioko mikoani, kutojisumbua…

Read More

Ripoti BoT yaeleza uagizaji mafuta unavyoshuka nchini

Dar es Salaam. Unaweza kueleza kuwa, jitihada za kuhamia matumizi ya nishati safi ya kupikia zimeanza kuzaa matunda baada ya Tanzania kushuhudia kupungua kwa fedha zinazotumika kuagiza mafuta nje ya nchi. Ripoti ya tathmini ya hali ya uchumi ya kila mwezi iliyotolewa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Novemba 2025, inaonyesha fedha zilizotumika kuagiza mafuta…

Read More