Shindano la Expanse linakupa mkwanja leo

  Shindano la michuano ya Expanse Kasino linaendelea ambapo limeanza tarehe 4 mwezi huu mpaka tarehe 20 mwezi huu wa 11, Ambapo kupitia shindano hili itawezesha kupata mshindi ambao atajinyakulia kitita. Kama ilivyokua kawaida shindano lolote la Expanse chini ya Meridianbet limekua likihusisha michezo mingi ya Expanse ambayo ndio inakua kete au chachu ya kumfanya…

Read More

Fainali Mapinduzi Cup 2026 kuchezwa Pemba

WAKATI michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 ikitarajiwa kuanza Desemba 28, 2025 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex kisiwani Unguja, imeelezwa kwamba fainali itapigwa Pemba. Hayo yamesemwa na Katibu Kamati ya Kombe la Mapinduzi 2026, Rashid Said Suleiman alipozungumza na waandishi wa habari leo Desemba 19, 2025. Suleiman amesema kabla ya kuchezwa fainali hiyo Januari…

Read More

Wabunifu teknolojia za elimu “njooni mchukue mkwanja”

Dar es Salaam. Wabunifu wa teknolojia ya elimu nchini wametakiwa kuwasilisha maombi ya fedha na mafunzo kwa ajili ya kuendeleza bunifu zao ili kuleta suluhu za kielimu nchini. Akizungumza jana Aprili 28, 2024 wakati wa kutambulisha mradi wa wa mafunzo hayo uitwao Mastercard Foundation EdTech Fellowship, Mtendaji Mkuu wa Sahara Ventures, Jumanne Mtambalike amesema lengo…

Read More

Fadlu afichua siri Simba, kusajili kiungo nyota

Wakati Simba ikijihakikishia kiasi cha Dola 750,000 kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa kufuzu nusu fainali ya kombe la Shirikisho Afrika, kocha mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids amefichua mipango ya kumsajili kiungo bora mshambuliaji mzawa ambaye hata hivyo hajamtaja jina. Ushindi wa mikwaju ya penalti 4-1 dhidi ya Al Masry jana…

Read More