Taji la Cecafa lampa mzuka Eliza

NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania ya wasichana, Elizabeth Chenge amesema ilikuwa lazima wanyakue ubingwa wa Mashindano ya Shule ya ‘CECAFA Zonal CAF African Schools Football Championship’ kutokana na historia ya Tanzania kwenye mashindano ya CECAFA. Mashindano hayo ya timu za Shule yalifanyika Uganda kuanzia Desemba 6-9 na Tanzania ilipangwa Kundi B na Ethiopia,…

Read More

Ulinzi ndiyo tatizo Mtibwa Sugar

Wakati Mtibwa Sugar ikiwa mkiani mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kucheza michezo 27 na kukusanya jumla ya pointi 20, ila inashika nafasi ya nne kwenye timu 16 ambazo zimefunga idadi kubwa ya mabao msimu huu, huku ikionekana kuwa na tatizo kubwa kwenye eneo la ulinzi. Timu hiyo inayopambana na janga la kushuka…

Read More

Ufunguzi wa kongamano la siku(2) la kitaifa la mtandao wa wanawake katiba uongozi na uchaguzi

Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP katika mchakato kuhimiza  usawa wa kijinsia Tanzania imekutana na wanawake pamoja na wanamtandao katika kongamano la kitaifa la mtandao wa wanawake katiba uongozi na uchaguzi Kujadili masuala mbalimbali wakati ambapo hivi sasa nchi yetu inaelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ambapo hali ya ushiriki wa wanawake katika nafasi za…

Read More

Bima ya afya ‘kwa wote’ yaanza kutumika Kenya

  WAKENYA wamefungua ukurasa mpya baada ya bima mpya ya afya kuanza kutumika leo, ambayo inatoa fursa ya matibabu kwa wananchi wote. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Akizindua rasmi mpango na bima hiyo mpya ya afya katika Kaunti ya Kakamega, Waziri wa Afya wa Kenya, Debra Barasa, amesema lengo la serikali ni kuwapa huduma…

Read More

Maandamano Kenya yatatiza shughuli katika uwanja wa ndege – DW – 23.07.2024

Kwenye kikao cha kwanza cha bunge lililorejea kazini tangu kuanza maandamano ya kudai utawala bora,viongozi walitofautiana juu ya uteuzi wa baraza jipya la mawaziri uliofanyika Ijumaa iliyopita. Junet Mohamed ni kiranja wa upinzani na mbunge wa Suna Mashariki amesisitiza kuwa watakuwa makini sana wakati wa kuwapiga msasa mawaziri wapya. Rais William Ruto amefanya mabadiliko katika…

Read More