Mahakama yamtaka Mwakinyo kwenye usuluhishi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imefikia uamuzi wa kulipeleka shauri la kesi ya madai inayomkabili bondia Hassan Mwakinyo dhidi ya mdai Kampuni ya PAF Promotion katika usuluhishi ambapo imemtaka mdaiwa na mdai kufika bila kukosa keshokutwa Ijumaa. Kesi hiyo ambayo juzi ilikuwa maalumu kwa ajili ya kutajwa katika usuluhishi mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim…

Read More

Majaliwa atoa maagizo sita kuelekea Dira ya Taifa 2050

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameainisha mikakati ya Serikali kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo ya Taifa, 2050 kwa kutoa maagizo sita muhimu. Majaliwa ametoa maagizo hayo sita kwenye kongamano la kumbukizi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ambalo limefanyika leo Jumamosi, Oktoba 11, 2025, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (udsm) likiwa na…

Read More

Vijana 30,000 waguswa tamasha Twenz’etu kwa Yesu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya vijana 30,000 wamebadili maisha yao kupitia tamasha linaloandaliwa kila mwaka na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Tamasha hilo lijulikanalo kama ‘Twenz’etu kwa Yesu’ lilianza mwaka 2014 limekuwa likiwakutanisha vijana wa dini na madhehebu mbalimbali kutoka Jiji la Dar es Salaam na…

Read More

Straika Azam anukia Kagera Sugar

Kagera Sugar ipo katika hatua za mwisho kumchukua mshambuliaji wa Azam FC, Adam Adam kwa mkopo. Kagera kwa sasa ipo katika mikakati ya kuongezea nguvu kikosi chake kutokana na ripoti ya Kocha Melis Medo iliyotoka hivi karibu. Awali Mwanaspoti iliripoti benchi la ufundi la timu hiyo linataka kusajili mashine nne mpya dirisha dogo lililofunguliwa Jumapili…

Read More