CCM ‘yawaka’ wanaopotosha hotuba ya Rais Samia

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesema kinaunga mkono hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuhusu kukemea vitendo vya utekaji na mauaji aliyoitoa mkoani Kilimanjaro, huku kikiwajia juu wanaoipotosha. Jumanne Septemba 17, 2025 akifunga mkutano mkuu wa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi na miaka 60 ya jeshi hilo, Rais Samia alilaani vitendo vya…

Read More

Heche: Hatutaogopa vitisho vya kesi, jela  kudai mabadiliko

Buchosa. Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umesisitiza kuendelea kampeni ya ‘No reforms, no election’ kudai mabadiliko ya sheria na mfumo wa uchaguzi bila kujali vitisho vya kukamatwa, kuswekwa mahabusu wala gerezani. Msimamo huo umetolewa leo Mei 12, 2025 na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, John Heche wakati akihutubia mikutano ya hadhara katika…

Read More