MTEI: Mwamba Prisons aliyeinusuru isishuke

JAPOKUWA katibu wa Tanzania Prisons, John Mtei hakuanza kufanya majukumu hayo mwanzoni mwa msimu huu 2024/25, mchango wake umekuwa mkubwa kwa wachezaji kutokana na uzoefu wake wa kukichezea kikosi hicho miaka ya nyuma. Katika mahojiano baina yake na Mwanaspoti Mtei anasema kipindi anachezea timu iliwahi kushuka daraja kabisa na pia kuna msimu iliponea chupuchupu kucheza…

Read More

Hukumu ya kesi ya Nyundo na wenzake wanne kutolewa leo

Hukumu ya kesi ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam inayowakabili washtakiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na wa Magereza, itatolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024.   Kesi hii ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 inawakabili…

Read More

Wadau mkoani Mara walia na uwekezaji hafifu

Musoma. Wadau wa maendeleo mkoani Mara wamesema kasi ya uwekezaji mkoani humo bado iko chini,  licha ya mkoa huo kuwa na fursa nyingi za kiuchumi na uwekezaji, hivyo wameitaka Serikali kufanya jitihada zaidi zitakazosababisha kuongezeka zaidi na kuboresha uchumi wa mkoa. Wadau hao wamebainisha hayo Julai 5, 2024 kwenye mdahalo kuhusu uwekezaji ulioandaliwa na Klabu…

Read More

Askofu Shoo ataka mambo mawili uchaguzi mkuu

Moshi. Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya  Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo ameitaka Serikali kusimamia haki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuhakikisha kunakuwepo na uhuru wa kuchagua na kuchaguliwa ili kuepusha  yaliyojitokeza katika chaguzi zilizopita kujirudia. Mbali na hilo amewataka pia wananchi, kutumia nafasi yao vizuri ya kushiriki…

Read More

Askofu Bagonza ataja ‘sumu’ tano kwenye maridhiano

Dar es Salaam.  Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza amesema kuna uhitaji mkubwa wa maridhiano ya kweli ili kuliunganisha Taifa na kurejesha mshikamano huku akibainisha mambo matano aliyoyataja kuwa ni ‘sumu’ inayopaswa kuepukwa katika mchakato huo. Askofu Bagonza ametaja sumu hizo kuwa ni matumizi ya hila, kutafuta…

Read More

‘Uchawi’ wa Ramovic Yanga, upo hapa!

KOCHA wa Yanga Mjerumani Sead Ramovic ni wazi gari limemwakia baada ya kushinda michezo sita mfululizo ya Ligi Kuu Bara, huku ikionekana akibebwa zaidi na nyota watatu, Clement Mzize, Prince Dube na Pacome Zouzoua kutokana na namba walizonazo hadi sasa ndani ya matokeo ya timu hiyo. Ramovic aliyejiunga na Yanga, Novemba 15, mwaka jana akitokea…

Read More