Moto waua wanafunzi 17, wajeruhi 14

Dar es Salaam. Wanafunzi 17 wamefariki dunia na 14 kujeruhiwa katika ajali ya moto iliyotokea katika Shule ya Msingi ya Hillside Endarasha iliyopo nchini Kenya. Kwa mujibu wa tovuti ya Daily Nation, tukio hilo limetokea usiku wa Alhamisi Septemba 5, 2024 na kuteketeza baadhi ya mabweni ya shule hiyo. Msemaji wa polisi nchini humo, Dk…

Read More

2023/24 ulikuwa msimu wa rekodi

LIGI Kuu Tanzania Bara ilimalizika wiki hii kwa aina yake huku rekodi kibao zikiwekwa kwenye maeneo mbalimbali. Makocha na wachezaji walikiri ulikuwa ni msimu wenye ushindani zaidi uwanjani, viongozi wakakazia ilikuwa ni ligi ngumu na wenye mamlaka ya soka nchini wakakubali mchezo huo kukua kwa kasi. Licha ya furaha kwa Yanga na Azam zilizomaliza nafasi…

Read More

Maximo aukubali mziki wa Fei Kagoma

KOCHA wa zamani wa Taifa Stars, Marcio Maximo ameonyesha furaha na matumaini makubwa kwa timu hiyo baada ya kuonyesha kiwango bora katika mechi ya kwanza ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 dhidi ya Burkina Faso. Maximo ambaye kwa sasa ni kocha mpya wa KMC, alisema hana mashaka na safu…

Read More