Saida; Nahodha wa Mv Ilemela aliyeigusa jamii kipekee

Mwanza. Imezoeleka masikioni mwa watu kuwa, mwanamke ni nguzo ya jamii, lakini unapomuona Saida Khailallah akiwa kwenye usukani wa kivuko katikati ya mawimbi ya Ziwa Victoria, unagundua kuwa msemo huo una maana pana zaidi. Si nguzo tu ya jamii yake, bali ya ujasiri, uthubutu na mabadiliko ya fikra katika jamii inayojifunza kuwa uwezo haupimwi kwa…

Read More

Mahakama yaridhia Hassano alipwe Sh36 milioni

MAHAKAMA KUU imebariki hukumu inayolitaka Shirika la Ndege la Turkish Airlines, kumlipa Hassan Othman Hassan ‘Hassano’, aliyewahi kuwa kiongozi wa klabu ya soka ya Simba, fidia ya Sh36 milioni kutokana na mzigo wake kupotea aliposafiri na ndege ya shirika hilo. Mizigo hiyo ni begi la nguo na vitu vingine, vilevile ndoo iliyokuwa na lita 10 za…

Read More

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAPELEKA HUDUMA ZA MAKAMBI YA AFYA BURE KWA WAKAZI WA MOROGORO.

Morogoro, Tanzania, 10 March 2026: Miaka ya hivi karibuni, magonjwa yasiyoambukiza yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa afya ya jamii nchini Tanzania. Magonjwa kama shinikizo la damu, kisukari, magonjwa ya moyo pamoja na saratani yanaongezeka kwa kasi, huku wengi wakigundulika wakiwa tayari katika hatua za mwisho za ugonjwa kutokana na kukosekana kwa uchunguzi wa mapema na…

Read More

Mukwala, Aucho watemwa The Cranes

WACHEZAJI Steven Mukwala na Khalid Aucho wameachwa katika kikosi cha nyota 28 wa timu ya taifa ya Uganda ‘The Cranes’, kwa ajili ya mechi mbili za kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026, dhidi ya Msumbiji Septemba 5 na Somalia Septemba 8, 2025. Mukwala anayeichezea Simba ametemwa sambamba na Aucho aliyemaliza mkataba wake na Yanga kisha…

Read More

Bado Watatu – 32 | Mwanaspoti

NIKAMJIBU: “Sikutaka nikupe mshituko. Nilikuwa nakungoja urudi.”“Mimi nimepata habari hii leo wakati narudi.”“Ni nani aliyekupa habari hiyo?”“Ni mke wake. Alinipigia simu akanijulisha hivyo. Nikashituka sana kwa sababu juzi juzi tu nilikuwa naye. Kwa hiyo nilipofika stendi nikaona niende huko kwanza nikampe pole.”“Hata mimi nilishituka, yaani mpaka hivi sasa picha yake inanijia akilini mwangu!”“Kushituka ni lazima….

Read More

Kwa nini Marekebisho ya Umiliki ni Muhimu katika Kudhibiti Uharibifu wa Ardhi – Masuala ya Ulimwenguni

Wakulima wanawake wakisafisha mashamba Kaskazini mwa Bangladesh. Credit: Naimul Haq/IPS Maoni na Máximo Torero (Roma) Jumatano, Februari 25, 2026 Inter Press Service ROMA, Februari 25 (IPS) – Mashamba kwa muda mrefu imekuwa moja ya vyanzo muhimu vya usalama katika vizazi. Akiandika kuhusu Uchina karibu karne moja iliyopita, Pearl S. Buck alibainisha katika Dunia Nzuri“Ikiwa utashikilia…

Read More

Ajira 1,300 za kada ya afya zanukia Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetangaza mpango wa kutoa ajira 1,300 kwa wataalamu wa sekta ya afya, katika jitihada za kukabiliana na upungufu wa watumishi na kupunguza msongamano katika hospitali za rufaa. Hatua hiyo inatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa, huku wataalamu hao wakipangiwa kufanya kazi zaidi katika zahanati na vituo vya afya, ambako…

Read More