SHINDANO LA EXPANSE KASINO KUMWAGA MKWANJA

KIPINDI hiki ambacho tunaelekea kuufunga mwaka kwa mdau wa michezo ya kasino anaweza kuufunga mwaka kibabe endapo utashiriki shindano la Expanse, Ambapo unaweza kuibuka mshindi wa kitita cha shilingi milioni moja. Meridianbet wamekuja na shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha milioni moja taslimu, Shindano hili…

Read More

SEVERE AREJESHA FOMU YA UBUNGE ARUMERU MAGHARIBI

Na Pamela Mollel, Arumeru Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Arumeru, Noel Severe, amerejesha rasmi fomu ya kuwania ubunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Julai 2, 2025. Akizungumza mara baada ya kurejesha fomu, Severe alisema: “Namtegemea Mungu, tusubiri maamuzi na maelekezo ya chama, maana yote yanafanywa na Chama Cha Mapinduzi.”…

Read More

Wasauz wamwashia taa kijani Maema Simba 

MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo  mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema. Matajiri hao wa Sauzi, wamemuaga kiungo huyo leo Ijumaa, baada ya kuitumikia klabu hiyo miaka minne kwa mafanikio. Hatua ya Maema kupewa ‘Thank you’ ni kama inawashwa taa ya kijani kwa kiungo huyo kutua Simba. Maema ndani ya Mamelodi…

Read More

Waogeleaji Bongo matumaini kibao Burundi

WAOGELEAJI 49 kutoka Tanzania na viongozi tisa wameenda nchini Burundi kushiriki mashindano ya Afrika Kanda ya Tatu yanayotarajiwa kuanza kesho Ijumaa hadi Jumapili huku wakiahidi kurudi na ushindi. Kocha mkuu wa timu hiyo, Michael Livingstone alisema maandalizi ya kikosi hicho yako vizuri kwani wamekuwa wakijifua kwa muda mrefu kwaajili ya mashindano hayo ambayo anaamini ushiriki…

Read More

Kauli ya Rostam Aziz kuhusu mchakato wa uteuzi watiania CCM

Dar es Salaam. Kada nguli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na mfanyabiashara maarufu, Rostam Aziz amepongeza mchakato mpya wa chama hicho katika kupitisha wagombea wa ubunge akisema unatoa nafasi ya haki na uwazi kwa watiania. Akizungumza leo, Jumapili Agosti 3, 2025 jijini Dar es Salaam katika mahojiano maalumu, Rostam amesema amewahi kupitia michakato mingi ya…

Read More

Upelelezi kesi mpya ya Boni Yai bado, Serikali yasubiri…

Dar es Salaam. Serikali imeieleza Mahakama bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai. Mshtakiwa huyo anakabiliwa na mashitaka mawili ya kuchapisha taarifa za uongo kwenye mtandao wake wa X (zamani Twitter). Kesi hiyo iliitwa leo Jumanne, Machi 11,…

Read More

Kocha Hausung apotezea ‘mafaza’ | Mwanaspoti

KOCHA wa Hausung, Hussein Rupia, amesema kukosekana kwa wachezaji wazoefu sio sababu ya mwenendo mbovu wa kikosi hicho hadi sasa, licha ya kukiri jitihada zaidi zinahitajika kuinusuru timu hiyo iliyopanda msimu huu wa Ligi ya Championship. Akizungumza na Mwanaspoti, Rupia aliyeipandisha daraja timu hiyo, amesema ameamua kuendelea kupambana na vijana wenye kiu ya mafanikio hivyo,…

Read More