Kwa nini Afrika Ikumbatie Masoko ya Kieneo Ili Kuhimili Mishtuko ya Hali ya Hewa na Migogoro – Masuala ya Ulimwenguni

Wakulima, wafanyabiashara na watumiaji katika soko la Mbare Musika Territorial Market mjini Harare, Zimbabwe. Credit: Isaiah Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (harare) Ijumaa, Oktoba 04, 2024 Inter Press Service HARARE, Oktoba 04 (IPS) – Watunga seŕa wa Afŕika, viongozi wa ndani na sekta binafsi wametakiwa kujenga mazingiŕa wezeshi ambayo yatawasaidia wafanyabiashara wa Afŕika na wakulima kujenga…

Read More

Ibenge kutesti mitambo Arachuga | Mwanaspoti

BAADA kucheza mechi ya ndani na kombaini ya Arusha, kikosi cha Azam FC chini ya kocha Florent Ibenge kinaendelea na maanzalizi kikijifua kwa mchezo mwingine wa kirafiki dhidi ya JKT Tanzania utakaopigwa Agosti 13 kabla ya kutimkia Rwanda. Azam FC ipo Arusha ambako imeweka kambi kwa siku 14 na mipango yake ni baada ya siku…

Read More

Ajinyonga baada ya kupata sifuri matokeo kidato cha nne

Geita. Rabia Paul (19), Mkazi wa Mtaa wa Msalala, Kata ya Kalangalala mjini Geita anadaiwa kujiua kwa kujinyonga baada ya kupata msongo wa mawazo kutokana na matokeo mabaya aliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne. Rabia aliyekuwa miongoni mwa wanafunzi 340 waliohitimu kidato cha nne mwaka 2024 katika Shule ya Sekondari Nyanza iliyopo…

Read More

Funga Kazi… Nyie Hamuogopi! | Mwanaspoti

UKIWA shabiki wa Yanga leo una jambo moja tu la kufanya kama ni siku ya kuabudu basi nenda kwanza kamshukuru Mungu, kisha ukitoka kaivae uzi wa klabu hiyo, weka fedha mfukoni na usisahau tiketi yako na ukiona vipi beba na vuvuzela kwena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kitachoendelea huko unakijua. Ndio, si unajua kwamba Wananchi…

Read More

Benki ya CRDB yawakaribisha Wanahisa kwenye Mkutano Mkuu wa 30

 Taarifa hiyo imetolewa leo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye hoteli ya Gran Meliá, jijini Arusha, ambapo Benki ya CRDB pia ilizindua Ripoti yake ya Mwaka 2024, inayoonyesha maendeleo makubwa ya kifedha, kiutendaji na kijamii yaliyopatikana katika kipindi hicho.   Akizungumza katika mkutano huo, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Dkt….

Read More