MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA JUMUIYA YA TATHIMINI AFRIKA ( AfrEA ) WAFANYIKA ADDIS ABABA-ETHIOPIA

Na Mwandishi Wetu – Addis Ababa, Ethiopia TANZANIA imeshiriki Maadhimisho ya Miaka 25 ya Jumuiya ya Tathmini Afrika (AfrEA) yanayofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 16 hadi 18 Juni, 2025, katika Kituo cha Mikutano cha Umoja wa Mataifa (UNECA), jijini Addis Ababa, Ethiopia. Ujumbe wa Tanzania umeongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini,…

Read More

Matola, Mutale wasisitiza jambo Simba

KOCHA wa Simba, Selemani Matola na mchezaji wa timu hiyo, Joshua Mutale wamefichua siri itakayowabeba msimu huu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku malengo makubwa yakiwa ni kufika nusu fainali. Matola na Mutale wamezungumza hayo jijini Dar es Salaam, wakati timu hiyo ikijiandaa kwa ajili ya mechi ya kwanza ya hatua ya makundi…

Read More

WANANCHI WATAKIWA KUSHIRIKI KATIKA KUHIFADHI TABAKA LA OZONI NA KUPUNGUZA ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIANCHI

SERIKALI imewataka wananchi kushiriki katika kuhifadhi Tabaka la Ozoni na kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kuepuka kuingiza nchini gesi zilizopigwa marufuku na vifaa vinavyotumia gesi haribifu kama vile majokofu na viyoyozi vilivyokwishatumika (mitumba). Pia, imewataka kuepuka kutupa ovyo majokofu ya zamani ama vifaa vya kuzima moto vyenye kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni au…

Read More

Je Urusi inaweza kuipeleka silaha Korea Kaskazini? – DW – 27.06.2024

Kiongozi wa Korea Kaskazini alisaini makubaliano ya kina ya ushirikiano wa kimkakati na Rais wa Urusi Vladmir Putin, wakati rais huyo alipoizuru Korea Kaskazini, wiki iliyopita. Makubaliano hayo yanahusisha kujizatiti na kujitolea kwa nchi hizo mbili kusaidiana pale mojawapo inaposhambuliwa. Huku kukiwa hakuna kipengele kinachoonyesha kubadilishana silaha, uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, umeifanya Moscow kuwa karibu…

Read More

GF TRUCKS & EQUIPMENT YAIBUKA MSHINDI WA JUMLA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA SABASABA 2025

Kampuni ya Gf Trucks & Equipment Ltd imeibuka mshindi wa jumla wa maonyesho ya biashara ya kimataifa  2025 yanayoendelea jijini Dar es salaam. Kupitia kiwanda chake cha kuunganisha Magari makubwa cha GF Vehicle Assemblers(GFA) kilichopo Kibaha mkoani Pwani Katika maonesho hayo yalionza rasmi tarehe 28 mwezi wa sita yameshirikisha makampuni mbambali kutoka nje na ndani…

Read More