WAZEE WAASWA KUHAMASISHA JAMII KUJITOKEZA KUPIGA KURA

:::::::: Wazee wa Mkoa wa Dodoma waaswa kuhamasisha jamii kujitokeza Oktoba 29,2025 kupiga kura pamoja na kuhakikisha wanasimamia vijana na kuwasihi kulinda amani ya nchi yetu. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule wakati akizungumza na Wazee hao leo Oktoba 09 juu ya umuhimu wao wa kuhamasisha jamii kujitokeza kupiga kura. Aidha…

Read More

Yanga yaipiga bao Simba | Mwanaspoti

WAKATI ikibaki siku mbili kabla ya Yanga na Simba kukutana katika pambano ya Ligi Kuu Bara litakalopigwa Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, rekodi zinawabeba zaidi watetezi hao tofauti na Wekundu wa Msimbazi. Mchezo huu utakaokuwa wa 114, kwa timu hizi kukutana katika Ligi Bara tangu 1965, rekodi zinaonyesha Yanga imekuwa timu tishio kwa…

Read More

KUPANGA VYUMBA NJE YA SHULE KWA WATOTO WA KIKE SEKONDARI KIBINDU YATIA HOFU KUJIINGIZA KWENYE VISHAWISHI

   Mwamvua Mwinyi, Chalinze Februari 27, 2025 Shule ya Sekondari Kibindu, iliyopo Kata ya Kibindu, Jimbo la Chalinze, Mkoani Pwani, ina jumla ya mabweni manne ya wasichana, lakini idadi ya wanafunzi wanaoishi kwenye mabweni hayo haifikii nusu ya wanafunzi wa kike 300 wanaosoma shuleni hapo. Aidha, shule hiyo inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa…

Read More

Waombaji 14,433 wachaguliwa Veta 2026

Dodoma. Waombaji 14,433, miongoni mwao 134 wa elimu ya juu, wamechaguliwa kujiunga na mafunzo katika vyuo vya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta). Waliochaguliwa ni kati ya waombaji 18,875 waliowasilisha maombi wakitaka kujiunga na mafunzo hayo kwa mwaka 2026. Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Anthony Kasore, ametoa kauli hiyo leo Jumanne, Desemba 23, 2025, alipozungumza…

Read More

MLANDEGE | Mwanaspoti

BAADA ya kufuzu nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup), Mlandege inarejea tena uwanjani leo katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na jana Ijumaa iliikaribisha Mwembe Makumbi inayoongoza msimamo wa ligi hiyo. Mlandege iliitoa Kikungwi Stars kwa penalti 5-4 baada ya dakika 90 kumalizika kwa suluhu na kuungana na KMKM, Mafunzo…

Read More

Sababu ya idadi kubwa ya wanafunzi na suluhisho-3

Dar es Salaam. Utoaji elimu bila malipo inatajwa kuwa moja ya sababu ya kuwapo ongezeko kubwa la wanafunzi linaloshuhudiwa kila mwaka katika shule mbalimbali nchini. Wilaya ya Temeke ni miongoni mwa zile zilizoathiriwa na hali hiyo na kufanya baadhi ya shule kuwa na wanafunzi wengi kuliko uwezo wake. Mbali na elimu bila malipo, pia ukuaji…

Read More