Iringa wachekelea huduma za madaktari bingwa 56

Iringa. Siku chache baada ya kuanza kwa kambi ya kanda yakKati ya madaktari bingwa 56 wanaojulikana kama ‘madaktari wa Samia’ katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa, wananchi waliopata huduma wameelezea furaha yao. Kambi hiyo iliyoanza juzi, itadumu kwa siku tano. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatano, Desemba 4, 2024, baadhi ya wagonjwa wamesema…

Read More

Karume kiongozi misheni ya SADC uangalizi wa uchaguzi Msumbiji

  RAIS Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, amewasili jijini Maputo, Msumbiji kwa ajili ya kuongoza, Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC SEOM), katika Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Msumbiji unaotarajia kufanyika tarehe 09 Oktoba, 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) . Karume aliwasili jijini…

Read More

Mjerumani amrithi Gamondi Yanga – Mtanzania

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Yanga imemtangaza kocha Sead Ramovic raia wa Ujerumani kuchukua nafasi ya Miguel Gamond. Kocha huyo mwenye umri wa miaka 45, alikuwa akikinoa kikosi cha Ts Galaxy ya Afrika Kusini tangu mwaka 2021-2024. Miguel Gamond Uongozi wa ulitanga leo Novemba 15,2015, kumfuta kazi Gamondi pamoja na kocha msaidizi, Moussa Ndaw.

Read More

WATU ZAIDI YA 900 KUSHIRIKI WIKI YA AZAKI KUANZIA KESHO ARUSHA

Na Seif Mangwangi, Arusha WIKI ya Asasi za kiraia 2025 (AZAKI) inaanza kesho jumatatu Juni2 hadi 6, 2025 Jijini Arusha huku washiriki zaidi ya 900 kutoka taasisi mbalimbali nchini ikiwemo mashirika na taasisi binafsi wakitarajiwa kushiriki. Akizungumza kwenye kikao na waandishi wa habari leo Juni1, 2025 jijini Arusha, Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation for civil society(FCS),…

Read More

Josiah afichua siri ya Maguli

BAADA ya Geita Gold kuinasa saini ya mshambuliaji, Elias Maguli kutoka Biashara United, kocha wa timu hiyo, Amani Josiah amesema usajili wa nyota huyo ni wa kimkakati ili kuongezea makali safu yake ya ushambuliaji. Nyota huyo amerejea ndani ya kikosi hicho alichokitumikia msimu wa 2023-24, huku akiandika historia ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao…

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AZINDUA MIRADI YA KIUCHUMI YA WENYE ULEMAVU

  Na Mwandishi wetu- Dar es salaam  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amezindua miradi ya kiuchumi ambayo iko chini ya  Shirika lisilo la Kiserikali la Strategic Alternative Learning Technique (SALT), inayohudumiwa na vijana wenye changamoto za ufahamu. Mhe. Nderiananga alifanya uzinduzi huo Jijini Dar es Salaam kwa…

Read More

Mtoto adai kuunguzwa moto kisa Sh70,000

Arusha. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia John Matemi (48) kwa tuhuma za kumshambulia mtoto wa dada yake mwenye umri wa miaka 14 kwa viboko na kumuunguza mkono, akimtuhumu kumuibia Sh70,000. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo leo Jumanne Julai 23, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amesema wanamshikilia John kwa tuhuma…

Read More