Sio Yanga tu hata Azam v KMKM ni buree

Klabu ya Azam FC imetangaza kuwa mchezo wa marudiano dhidi ya KMKM kombe la Shirikisho utakaopigwa Oktoba 24, 2025 kwenye uwanja wa Azam Complex hauna kiingilio. Kupitia mitandao rasmi ya kijamii ya klabu hiyo, imetangaza mchezo huo kuwa hauna kiingilio kwa majukwaa ya mzunguko pekee huku VIP ikitolewa kwa kadi maalum. “Habari njema kwa mashabiki…

Read More

Mvua wilayani Sumbawanga zakata mawasiliano ya vijiji

Rukwa. Mvua zinazoendelea   katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Sumbawanga zimesababisha kusombwa kwa daraja linalounganisha vijiji vitano vya Ilemba A, Ilemba B, Lyanza, Sakalilo na Kasteka, na kusababisha adha ya usafiri kwa wakazi wa maeneo hayo. Kufuatia hali hiyo, baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Sakalilo, Kata ya Ilemba, Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa…

Read More

Mafyatu wanataka muungano si mgongano

Juzi Tunda Lishe alilikoroga. Si alihoji mantiki ya Zenj kuua Tanganyika hata kutaka wadanganyika wawe na pasipoti kuingia Zenj. Baada ya kukinukisha, si kiliuma. Machawa na mazwazwa wajikombao wapate shibe si walilidhalilisha hata Bungo! Alianza mmoja aliyetaka eti Wadanganyika waingie Zenj kwa pasi ilhali Wazenj waingie bwerere na kuishi watakavyo. Tunda alihoji mantiki ya Wazenj…

Read More

Sababu za kubadili sarafu katika mzunguko wa fedha

Katika mfumo wa uchumi wa sarafu kidunia (fiat money system), fedha zilizo katika mzunguko zinaweza kupitia mabadiliko kadhaa kutokana na mwenendo wa kiuchumi, matumizi ya kila siku, na jinsi zinavyohifadhiwa na watumiaji. Hivyo, kutokana na mambo haya, uimara, uthabiti, na thamani yake yanategemea pia hali hizo. Hivyo benki kuu kidunia, kama msimamizi wa mfumo wa…

Read More

Azam kunogesha Mbeya City Day Sokoine

Wakati Mbeya City ikiendelea na maandalizi ya tamasha lake la ‘Mbeya City Day’, timu hiyo imesema inatarajia kujipima nguvu dhidi ya Azam FC ili kunogesha tukio hilo linalotarajiwa kufanyika Septemba 9 mwaka huu. Kabla ya tukio hilo, timu hiyo itaanza kushiriki shughuli za kijamii ikiwa ni kuchangia damu kwenye Hospitali ya Igawilo, kutembelea watoto kwenye…

Read More

TANZANIA YAPONGEZWA KWA KUWEKA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI

 SERIKALI ya Tanzania imeendelea kupata pongezi kutoka kwa wawekezaji wa kigeni kwa jitihada zake za kuboresha mazingira ya biashara, ikiwemo kurahisisha taratibu za usajili wa kampuni na kuwapa wawekezaji fursa ya kuanza shughuli haraka bila vikwazo vikubwa vya kiutendaji.   Akizungumza Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la Kampuni…

Read More

Wanafamilia wanane waliokufa maji wazikwa, aliyebaki asimulia ilivyokuwa

Tarime. “Niseme ni Mungu tu, sijui niliweza vipi kushikilia ule mti hadi watu walipofika na kuniokoa kwani hadi natoka pale binafsi nilikuwa sijielewi ingawa nilikuwa sijapoteza fahamu lakini sikuwa natambua chochote,” hivyo ndivyo anavyoanza kuelezea  Moses Ngare Moses, kijana aliyenusurika  kifo wakati ndugu zake tisa wakisombwa na maji kwenye tukio lilitokea usiku wa kuamkia Novemba…

Read More

Hofu ya kipindupindu kwa jamii zilizoondolewa na vita – Masuala ya Ulimwenguni

Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) Mkurugenzi Mkuu Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema kuwa mpango wa majibu umeanzishwa ili kuimarisha ufuatiliaji, ufuatiliaji wa watu walio karibu na kuchukua sampuli za maji. Kesi hiyo ilithibitishwa huko Akkar, jimbo la kaskazini mwa nchi hiyo. Akizungumza mjini Geneva mwishoni mwa Jumatano, Tedros alibainisha kuwa mamlaka ya afya ya Lebanon ilizindua…

Read More