TPDC Yadhamini na Kushiriki Mbio za Marathoni kwa Lengo la Kuelimisha Umma Kuhusu Nishati Safi ya Kupikia

 Baadhi ya wanachama wa TPDC Runners Club wakiwa katika picha ya pamoja Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) leo limeungana na wadau mbalimbali katika kushiriki mbio za marathoni zilizoandaliwa kwa lengo la kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini. Mbio hizo zimefanyika katika viwanja vya Green Ground, Oysterbay jijini Dar es Salaam na…

Read More

Madhara kumzuia mtoto kuuliza maswali

Dar es Salaam. Moja ya zawadi kubwa ambayo mzazi anaweza kumpa mtoto si fedha, si shule za gharama, bali mazingira ya kuuliza na kujibu maswali bila hofu. Katika familia nyingi, watoto hukuzwa kwenye mifumo inayozuia kuuliza, kuhoji, au hata kujaribu kuelewa kwa kina. Mara nyingi swali la mtoto hujibiwa kwa haraka, kupuuzwa, au kuonekana kama…

Read More

Dada zangu waliokuwa wanafanya ukahaba mjini warejea nyumbani!

Jina langu ni Samson kutokea Mara nchiniTanzania, katika ukoo wetu kuna kitu ambacho kilikuwa kina mtokea kila mtu, mwanzo nilikuwa nahisi ni bahati mbaya lakini nikaja kubaini kuwa ukoo wetu umevamiwa na mikosi ya kutisha. Kilichonishangaza kulikuwa hakuna mtoto ndani ya ukoo alikuwa anafaulu sehemu yoyote katika masomo yake, wote walikuwa wakifika darasa la saba…

Read More