Polisi wawili washikiliwa kwa tuhuma za mauaji Dodoma

Dodoma. Mkazi wa Kitongoji cha Mgomwa, Kata ya Matumbulu jijini Dodoma, Frank Sanga (32), amefariki dunia akidaiwa kupigwa risasi na askari polisi waliokuwa doria, alipokuwa akimsaidia ndugu yake aliyekamatwa na askari hao kwa makosa ya usalama barabarani, asipelekwe kituoni. Tukio hilo linadaiwa kutokea Julai 19, 2025, saa 7:30 mchana, maeneo ya Matumbulu jijini Dodoma, ambapo…

Read More

Yas yataja sababu kubadili jina, vipaumbele

Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mpito wa Kampuni ya Yas Tanzania, Jerome Albou ametaja sababu zilizoifanya kampuni hiyo kubadili jina kutoka Tigo. Albou amesema lengo lao kuu ni kutaka kuboresha huduma za mtandao ili ziwe za kisasa zaidi huku zikimgusa kila mtu. Ofisa huyo amesema hayo leo Jumatatu Desemba 2, 2024 alipofanya mazungumzo…

Read More