Mhadhiri aliyeshtakiwa kwa madai ya rushwa ya ngono kizimbani tena

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Tabora, imebatilisha uamuzi wa Mahakama ya Wilaya Tabora iliyomuachia huru, Michael Mgongo, aliyeshtakiwa kwa kuomba rushwa ya ngono kutoka kwa mwanafunzi wake kwa lengo la kumpendelea katika mitihani. Mahakama imebatilisha uamuzi uliofikiwa na mahakama ya chini ambayo ilimuachia huru Mgongo, mhadhiri msaidizi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) baada…

Read More

Wawakilishi walalama kesi za udhalilishaji kuja kivingine

Unguja. Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wameitaka Serikali kufanya mapitio ya Sheria ya Mtoto, wakieleza kuwa kumeibuka changamoto ya madai ya kubakwa ambayo wakati mwingine yanaibuliwa na watu wanaodaiwa kuwa watoto, ilhali wao wenyewe ndio hujihusisha na masuala ya mapenzi. Aidha, wawakilishi hao wametoa wito kwa Serikali kuweka mkazo zaidi katika elimu ya malezi, wakibainisha…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE AITAKA JAMII KUEPUKANA NA MSUKUMO WA DHULMA

………….. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameitahadharisha jamii ya watanzania kujiepusha na msukumo wa dhulma,uongo na ubinafsi unaoenezwa kupitia  mitandao ya kijamii Ametoa rai hiyo leo, wakati wa Ibada ya Krismasi iliyosaliwa katika Kanisa la Parokia ya Pwaga, wilayani Mpwapwa, mkoani Dodoma  huku Paroko wa Parokia hiyo,Padri Daniel Kijaji akimuombea hekima…

Read More