ADEM Yawaalika Wadau wa Elimu Kushiriki Marathon ya Desemba 6

Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu-ADEM umepanga kufanya mbio maalumu za marathon zitakazohusisha wadau mbalimbali wa elimu, mashirika na taasisi yanayojihusisha na usimamizi wa elimu, wanachuo wa vyuo mbalimbali katika Mkoa wa Pwani na wananchi wote zikilenga kuhamasisha umoja, amani na utulivu katika Taasisi za kielimu pamoja na kuchangisha fedha kwa ajili ya kuboresha…

Read More

Mikopo asilimia 10 ilivyogeuka kete wagombea udiwani CCM

Mikoani. Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Jumapili, Julai 20, 2025, kimefungua rasmi pazia la upigaji kura kwa wagombea walioomba nafasi ya udiwani viti maalumu. Uchaguzi huo unafanyika katika mazingira ya uangalizi, huku taarifa zikieleza kuwa, baadhi ya wajumbe wanatumia mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kama mbinu ya kuwashawishi wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu…

Read More

Kuhifadhi Urithi wa Kitamaduni – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Jan Lundius (Stockholm, sweden) Jumatano, Novemba 06, 2024 Inter Press Service Inadumu zaidi kuliko shaba, juu kuliko ya Faraopiramidi ni mnara ambao nimeunda,umbo la upepo wa hasira au mvua yenye njaahawezi kubomoa, wala safu zisizohesabikaya miaka ambayo hutembea kwa karne nyingi. Sitakufa kabisa:sehemu fulani yangu itamdanganya mungu mke wa kifo. Ndivyo alivyoandika, bila…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Tatizo la ajira litufunze kujiajiri

Siku moja Mtemi Kimweri aliota ndoto ya kutisha sana. Ndotoni aliona watu weupe kama karatasi wakiteremka mashuani, wakaingia kwenye ardhi yake na kuanza kuyapinga yote yaliyofanyika chini ya Mtemi. Walipita madarasani na kuiponda elimu yao, wakapita kwenye burudani na kuziponda ngoma zao. Hata kwenye nyumba za ibada walizikandia imani zao kwa kusema mambo yote waliyofuata…

Read More