Hukumu kesi ya zawadi kwa Askofu Sepeku Novemba 27

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi, imepanga Novemba 27, 2025 kutoa hukumu ya kesi ya ardhi iliyofunguliwa na Bernardo, mtoto wa Askofu John Sepeku. Uamuzi huo umetolewa leo Jumatano Oktoba 15, 2025 na Jaji Arafa Msafiri, baada ya upande wa utetezi kufunga ushahidi wake wa mashahidi watano. “Baada ya upande wa utetezi kumaliza…

Read More

Watawa waliofariki ajalini wazikwa Dar

Dar es Salaam. Watawa wanne waliofariki dunia katika ajali ya gari mkoani Mwanza, wamezikwa  leo Septemba 19 jijini Dar es Salaam na jamii imetakiwa kuwakumbuka kwa kuishi vema kwa kuacha alama. Waliofariki dunia katika ajali hiyo iliyotokea Septemba 15, 2025 mkoani Mwanza baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori, ni Lilian…

Read More