Makalla amkingia kifua Shigongo ujenzi wa barabara

Mwanza. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amewataka wakazi wa Wilaya ya Buchosa kutomhukumu Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo kutokana na ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka Sengerema hadi Nyehunge kutoanza hadi sasa. Makalla amesema Shigongo hana kosa kwa sababu yeye wakati akiwa Mkuu wa Mkoa…

Read More

Mashine mpya zasaidia kupunguza gharama ya dialisisi

Dar es Salaam. Ili kukabiliana na gharama kubwa ya huduma ya dialisisi kwa wagonjwa wa figo, Serikali imeingiza nchini mashine mpya aina ya SWS 6000 ambazo zimewezesha zishuke kutoka Sh250,000 mpaka Sh150,000. Mashine hizo moja ina thamani ya Sh31.76 milioni ambazo tayari zimefungwa katika hospitali za rufaa za mikoa. Zina uwezo wa kutoa huduma zaidi…

Read More

Diarra, Yanga wakaa mezani, Mwamnyeto njia panda

YANGA sasa iko mezani na menejimenti ya kipa Djigui Diarra, ili kumuongeza mkataba wa mwaka mmoja ili aendelee kuitumikia, licha ya kuwa amebakiza msimu mmoja kabla ya mkataba wa sasa kumalizika. Kipa huyo raia wa Mali alisaini mkataba wa miaka mitatu na Yanga unaomalizika mwishoni mwa msimu ujao akiwa na rekodi ya kufanya vizuri katika…

Read More

Idara ya Ujasusi yaifelisha serikali ya Kenya – DW – 26.06.2024

Naibu rais wa Kenya Rigathi Gachagua amemtolea wito mkuu wa intelijensia nchini mwake Nurdin Haji ajiuzulu na awajibishwe kutokana na maafa yaliyotokea nchini Kenya yaliyofungamana na maandamano ya kupinga muswada wa fedha wa mwaka 2024. Kulingana na Gachagua idara ya ujasusi nchini Kenya haikumpa rais ushauri muafaka kwamba Wakenya hawakuutaka mswada huo wa fedha. Soma pia: Ruto auondoa…

Read More

Utata dili la Roro Yanga, kigogo ataja kikwazo

DILI la kocha Romuald Rakotondrabe ‘Roro’ ndani ya Yanga limeingia utata ambao unatishia hata ujio wake kujiunga na mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara. Iko hivi, Roro alishamaliza makubaliano katika mambo mengi na Yanga, hilo sio shida, lakini utata ambao umeibuka ni namna ya muundo wa benchi lake la ufundi kwani hapo ndipo umeibuka mjadala….

Read More

Coastal Union wajiandaa kurudi Mkwakwani

WAKATI wowote Coastal Union inaweza kuishtua Simba ikipanga kuhamisha mchezo huo wa Ligi Kuu utakaopigwa Machi Mosi kwenye Uwanja wa Mkwakwani, jijini Tanga. Tangu msimu uanze Coastal imetumia viwanja vitatu tofauti vya nyumbani ikianza na KMC Complex, kisha Azam Complex na sasa Sheikh Amri Abeid uliopo Arusha kutoka na Mkwakwani kufungiwa ili kupisha mboresho. Wagosi…

Read More

Rombo sasa kulima migomba kwa matone

Rombo. Wataalamu zaidi ya 25 kutoka Wizara ya Kilimo wanatarajiwa kupiga kambi katika Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro,  kutoa elimu ya namna bora ya kuzalisha zao la ndizi kwa kutumia umwagiliaji wa matone na kuachana na kilimo cha mazoea,  ili kuzalisha kwa tija na kuuza bidhaa hiyo katika masoko ya kimataifa. Wilaya ya Rombo ni…

Read More