VIDEO: Sababu Polepole kuitwa Polisi
Dar es Salaam. Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai imemtaka aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kufika ofisini hapo kutoa maelezo au ushahidi kuhusiana na tuhuma anazozitoa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii. Polepole aliyejiuzulu nafasi yake Julai 13, 2025 kwa madai hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na…