150 wakamatwa Kigoma wakikimbia machafuko DRC

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro, amesema idadi ya wahamiaji wanaokimbia machafuko katika mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imeongezeka na kufikia watu 202. Kauli hiyo inakuja siku moja baada ya ripoti kuonesha waasi wa M23, waliokuwa wakipambana na Jeshi la DRC, wameachia mji wa…

Read More

Unayofanya kila siku huamua afya ya moyo wako

Nairobi. Watu wengi hugundua kuwa wana kiwango cha juu cha lehemu (cholesterol) wakiwa wameshachelewa sana. Awali hawakubaini tatizo lolote. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu hakuna maumivu, hakuna ishara za kutisha, wala dalili za ghafla zinazokuonya kuwa kuna jambo hatari linaendelea kujengwa ndani ya mwili wako. Unajisikia sawa. Unaonekana mzima. Unaendelea na shughuli zako za…

Read More

Zanzibar yazindua flyover ya kwanza Mwanakwerekwe

Unguja. Zanzibar imeandika historia mpya ya maendeleo baada ya kuzindua rasmi barabara ya juu (flyover) Mwanakwerekwe, mradi ambao ni ishara ya mafanikio ya kimaendeleo katika miaka 62 tangu Mapinduzi Matukufu. Ujenzi wa flyover ni sehemu ya mfululizo wa miradi ya kisasa inayolenga kuboresha miundombinu ya usafiri, biashara na huduma za kijamii kisiwani humo. Flyover hiyo…

Read More

Hii hapa ratiba kamili ya mchakato wa uchaguzi CCM

Dar es Salaam. Baada ya kukamilika kwa mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba uteuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi za ubunge na udiwani, kamati za siasa zinaanza vikao vyake kesho Julai 4, 2025 kuwajadili waliotia nia. Hatua hiyo ya pili inakwenda kutoa nafasi kwa kamati za siasa kuchuja wagombea na…

Read More