VIDEO: Sababu Polepole kuitwa Polisi

Dar es Salaam. Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai imemtaka aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kufika ofisini hapo  kutoa maelezo au ushahidi kuhusiana na tuhuma anazozitoa kwa umma kupitia mitandao ya kijamii. Polepole aliyejiuzulu nafasi yake Julai 13, 2025 kwa madai hawezi kuendelea kuwa sehemu ya uongozi usiohamasika na…

Read More

Rais Mwinyi alivyowasili Unguja baada ya msiba wa kaka yake

Pemba. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameahirisha shughuli zake za kiserikali huko Pemba kutokana na taarifa za kifo cha kaka yake, Abbas Ali Mwinyi, aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Lumumba huko Unguja. Abbas ambaye alikuwa mbunge aliyemaliza muda wake na mgombea ubunge katika jimbo la Fuoni, amefariki dunia leo Septemba 25, 2025 wakati akipatiwa…

Read More

Moshi yapendekeza halmashauri mpya ya Vunjo

Dar es Salaam. Kikao maalumu cha ushauri (DCC) Wilaya ya Moshi kimepitisha mapendekezo mawili ya kuanzishwa kwa halmashauri mpya ya Vunjo na kupandishwa hadhi kwa barabara mbili za wilaya kuwa za mkoa. Mapendekezo hayo yamekuja baada ya ziara ya Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi akisisitiza maboresho ya kiutendaji na…

Read More

UDP kukomalia kilimo cha umwagiliaji ikishinda uchaguzi mkuu

Siha. Mgombea Urais kupitia Chama cha UDP, Saumu Rashidi ametangaza mambo matano ambayo anakwenda kushughulika nayo pindi atakapopata ridhaa ya wananchi ya kuwa kiongozi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Miongoni mwa mambo anayopigania mgombea huyo kipaumbele cha kwanza ni kilimo cha umwagiliaji, viwanda, afya, elimu pamoja na maji. Saumu amesema leo Jumatano Septemba 24,…

Read More

Mpemba alivyomuua mkewe, kumzika chumbani

Morogoro. Wivu wa mapenzi ni jinamizi linalotafuna roho za wapendanao, kauli inayoshabihiana na kilichotokea kwa Mohamed Salahange maarufu Mpemba, aliyemuua mkewe, kisha kuuzika mwili chumbani kwao. Baada ya kuuzika mwili huo, akiwatuma watoto wa mama huyo kuleta mchanga chumbani bila kujua ni kwa ajili ya kumzika mama yao, walihama nyumba na kuifunga hadi siku 81…

Read More