Ligi Kuu Bara kuna mechi za kisasi

UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa mechi mbili kupigwa, ambapo TRA United zamani Tabora United itacheza na maafande wa Tanzania Prisons, huku Mashujaa ikiwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma kucheza na Mbeya City. TRA United itakayokuwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora kuanzia saa 8:00 mchana, inasaka ushindi…

Read More

Simba yamnyatia beki wa Yanga

SIMBA imeingia anga za Azam FC, kuwania saini ya beki wa Yanga, Kibwana Shomari anayemaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado klabu yake haijafikia mwafaka naye. Azam FC ndio ilikuwa ya kwanza kumpelekea ofa mchezaji huyo, lakini baada ya Mwanaspoti kuchapisha taarifa hizo, Simba ikaamua kutupa ndoano na siyo mara ya kwanza kumhitaji…

Read More

Tumaini jipya kwa watu wenye ulemavu Tanzania

Dar es Salaam. “Ni Tumaini jipya. Ni kauli za watu wenye ulemavu nchini Tanzania baada ya kuanza kutumika kwa mipango madhubuti ukiwemo wa kitaifa wa haki na ustawi wa watu wenye ualbino (MTHUWWU). Pia, mkakati wa Taifa wa teknolojia saidizi kwa wenye ulemavu katika kuwapa fursa na haki. Mipango hiyo imetaja nguzo kuu nne za…

Read More

Yanga yatua Arabuni | Mwanaspoti

MABOSI wa kikosi cha Yanga wajanja sana, kwani wakati timu hiyo ikijiandaa na mechi mbili z kufungia msimu za Ligi Kuu Bara na moja ya Kombe la Shirikisho (FA), lakini wenyewe wapo bize kuhakikisha wanaanza kusuka skwadi mpya kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano. Katika kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa, tayari mabosi hao wameibuka…

Read More

Takukuru yachunguza vyama vya siasa Mbeya

Mbeya. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Mkoa wa Mbeya imesema inaendelea na uchunguzi kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotuhumiwa kuhusika na vitendo vya rushwa. Pia imesisitiza kuwa taasisi hiyo haichunguzi tu upande wa CCM pekee, badala yake vyama vyote vya siasa inaendelea kuvichunguza kutokana na kuwapo kwa malalamiko ikiwamo watiania…

Read More

Haki, si Uadhibu, kwa Wasichana wa Asili Walionyanyaswa Kimapenzi nchini Peru – Masuala ya Ulimwenguni

Mabweni ya wasichana wa kiasili wa watu wa Awajún, katika makao wanamoishi na kupokea elimu ya lugha mbili ya kitamaduni, katika mkoa wa Condorcanqui, jimbo la Amazonas, kaskazini-mashariki mwa Peru. Credit: Kwa Hisani ya Rosemary Pioc na Mariela Jara (lima) Jumatatu, Julai 08, 2024 Inter Press Service LIMA, Julai 08 (IPS) – Hofu kuu inayowakabili…

Read More

Samia amtwisha Jafo zigo la Kariakoo, ataka ripoti kila baada ya miezi 3

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kwenda ‘kushinda’ Kariakoo badala ya kukaa ofisini ili kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wa eneo hilo pamoja na nchi nzima kisha kumpatia ripoti kila baada ya miezi mitatu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia amemuagiza akakae na kusikiliza wafanyabiashara hao wa Kariakoo kwa sababu…

Read More

Waganda waja kivingine mbio za magari Afrika

UJUMBE mzito wa madereva na mashabiki wa mbio za magari kutoka Uganda unatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ajili ya kusherehesha mashindano ya magari ubingwa wa Afrika yatakayochezwa nchini  Septemba 19, 20 na 21 mkoani Morogoro. Waganda wanakuja Morogoro wakiwa na mabingwa watarajiwa, Mtanzania Yassin Nasser ambaye ni dereva na Mganda Ally Katumba, ambaye ni msoma…

Read More

Shisha zilizochanganywa na dawa za kulevya zakamatwa Zanzibar

Unguja. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Zanzibar (ZDCEA) kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama imekamata kilo 798.89 za dawa za kulevya ikiwamo shisha zilizochanganywa na dawa za kulevya. Aina ya dawa zilizokamatwa katika operesheni maalumu nne tofauti zilizofanywa kuanzia Oktoba mwaka huu ni pamoja na bangi, cocaine, heroin, methamphetamine…

Read More