Mzize ana akili ya kizungu kimtindo

WACHEZAJI wa kizungu huwa wanazipa heshima na kuzithamini sana timu ambazo zimewapa fursa ya kujitangaza na kuingia katika daraja la juu kiushindani. Sisemi kama ni wote ila wengi wao wanaziona timu ambazo zimewapa fursa tangu wakiwa vijana wadogo kama sehemu ya maisha yao hivyo hujitahidi kuishi nazo vizuri ili wasiondoke au kumaliza maisha ya soka…

Read More

Uongo, uzushi, tiba ya matende, ngiri maji

KUNA uongo na uzushi katika jamii kuhusu wanaume, wanawake na watoto wenye matende na ngiri maji kwamba wamerogwa. Baadhi wanasumbuliwa na imani potofu kuhusu magonjwa hayo. Fikra za kishirikina: Kuna jamaa mmoja aliambiwa utakapofika maeneo ya pwani kama Tanga, Bagamoyo, Dar es Salaam, Zanzibar, Pemba, Mtwara na sehemu kama Kilwa usinywe maji ya madafu na…

Read More

Mataifa sitini na tano yanasaini Mkataba wa Kwanza wa UN kupigana na mtandao, katika hatua muhimu kwa ushirikiano wa dijiti-maswala ya ulimwengu

Kupitishwa na Mkutano Mkuu mnamo Desemba 2024 Baada ya miaka mitano ya mazungumzo, Mkutano dhidi ya mtandao Huanzisha mfumo wa kwanza wa ulimwengu wa kuchunguza na kushtaki makosa yaliyofanywa mkondoni-kutoka kwa ulaghai wa kifedha na udanganyifu wa kifedha hadi kugawana kwa makubaliano ya picha za karibu. “Mkutano wa cybercrime wa UN ni chombo chenye nguvu,…

Read More

Masauni ataka magereza kuchangamkia kilimo

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amehimiza maboresho ya kimfumo, kimuundo na kitaasisi katika Jeshi la Magereza nchini, ili kuliongezea uwezo wa uzalishaji wa mazao ya kilimo, ambayo yana soko la uhakika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma … (endelea). Waziri Masauni amesayasema hayo tarehe 30 Septemba 30, 2024 wakati wa ziara yake…

Read More

Shine TTW ameachia EP ya maisha yake leo!

Mwimbaji mahiri ShineTTW, leo ametoa EP yake mpya iitwayo, ‘The Chosen One’, yenye ngoma zipatazo nane. EP hii sio tu mkusanyiko wa nyimbo nane, lakini ni ngoma zinayoonyesha talanta kubwa ya ShineTTW katika anga ya muziki ya Kiafrika. ‘The Chosen One’ ni EP inaonyesha mtindo wa msanii huyu wa Afro Sentio, ambaye anafanya muziki wa…

Read More

Bondia mchinja kuku na kisa cha kupigwa Uganda

Katika maisha kila binadamu anapitia mkasa wake apitia haso zake katika kitabu cha maisha yake kama ilivyokuwa kwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Ramadhan Ramadhani lakini jina lake la utani akijulikana kama Chicho na wengi humuita Rama Chicho. Rama Chicho ambaye anatokea katika mitaa ya Manzese siyo mgeni katika majukwaa ya mchezo wa ngumi…

Read More