WAZIRI MKUU AJIANDIKISHA KIJIJINI KWAKE NANDAGALA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akijiandikisha kwenye Daftari la Wapigakura wa Serikali za Mitaa kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mtaa na Vijiji utakaofanyika Novemba 27, 2024. Waziri Mkuu alijiandikisha kwenye kituo cha shule ya msingi Nandagala iliyopo kitongoji cha Nanguruwe, Kata ya Nandagala, Ruangwa Mkoani Lindi. Oktoba 19, 2024 Kushoto ni Afisa Uandikishaji Bw….

Read More

Mwaka 2025 na sura halisi ya mwanawake na uongozi kisiasa

Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka rekodi mpya kwa namna wanawake walivyojitokeza kuwania nafasi za juu za uongozi. Historia hii mpya imeandikwa kutokana na ongezeko la wagombea wanawake wanaowania nafasi mbalimbali zikiwamo za urais sambamba na wagombea wenza. Hatua hii inaonesha mafanikio ya mapambano ya usawa wa kijinsia, demokrasia na mustakabali…

Read More

FCC kutumia akili mnembe(AI) kuimarisha utendaji kazi

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Kukua kwa Teknolojia katika Sekta ya TEHAMA na uwepo wa akili mnemba (IA), kutasaidia kuongeza tija na ushindani wa Biashara huku elimu zaidi ikihitajika kwa wadau na wananchi kuhusu Teknolojia hiyo. Kauli hiyo imetolewa leo Mei 30,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), William…

Read More

Zaidi ya watu 8,000 wamehama hifadhi ya Ngorongoro

Ngorongoro. Serikali imesema hadi sasa kaya 1,373 zenye jumla ya watu 8,364 waliokuwa na makazi ndani ya eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamehama kwa hiari kutoka eneo hilo na kwenda Msomera na maeneo mengine nchini. Vilevile, imeeleza kuwa haijasitisha baadhi ya huduma muhimu zikiwemo za elimu na afya katika maeneo ambayo bado…

Read More

Tutatoa ushirikiano kuipa thamani Mwanamke Awards Tanga

Serikali Mkoani Tanga imeahidi kutoa Ushirikiano kwa Waandaji wa Mwanamke Awards mkoani humo ili kuongeza ufanisi na ubora zaidi kwa miaka ijayo ili kuweza kuwafikia Wanawake wengi zaidi ambao ni Wajasiriamali wanaofanya vizuri katika Sekta mbalimbali za Maendeleo. Akizungumza kwa Niaba ya Mkuu wa mkoa huo, Mkuu wa wilaya ya Pangani Gift Msuya amewapongeza waandaaji…

Read More

Tatizo la afya ya akili lilivyogusa Watanzania 2025

Dar es Salaam. Mwaka 2025 umeweka wazi jeraha lisiloonekana, lakini lenye maumivu makali la afya ya akili miongoni mwa Watanzania. Katika kipindi cha mwaka huu, kumeshuhudiwa ongezeko la matukio ya msongo wa mawazo, sonona, wasiwasi mkubwa na tabia za kujidhuru. Makundi yaliyoathirika zaidi ni vijana na wanafunzi, wafanyakazi wa mijini, pamoja na wanawake wanaobeba mzigo…

Read More

Morocco: Yeyote aje tu robo fainali

KOCHA wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’ amejivunia ubora wa kikosi huku akisema vijana wake wana uwezo wa kushindana na timu yoyote katika hatua ya robo fainali ya michuano CHAN. Stars ilitinga robo fainali ya michuano hiyo ikiwa na mechi moja mkononi iliyokamilishwa jana Jumamosi usiku dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya…

Read More

WANAGDSS WAICHAMBUA BAJETI YA OFISI YA RAIS (MIPANGO NA UWEKEZAJI) NA KUBAINI HAIJAZINGATIA MASUALA YA JINSIA – MWANAHARAKATI MZALENDO

NA EMMANUEL MBATILO,MICHUZI TV   WADAU mbalimbali wa masuala ya Jinsia na Maendeleo wamekutana katika Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) na kuichambua bajeti ya Ofisi ya Rais (Mipango na uwekeshaji) na kubaini kuwa haijazingatia masuala ya jinsia.   Akizungumza leo Aprili 24,2024 jijini Dar es salaam, wakati wa semina ambazo hufanyika kila Jumatano katika…

Read More