Huu ndio ugonjwa uliosababisha kifo cha Mafuru

Dar es Salaam. Saratani ya damu ndio ugonjwa uliokatisha maisha ya aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Tanzania, Lawrence Mafuru (52). Mtaalamu huyo wa fedha na uchumi maarufu chini humo, alifariki dunia Novemba 9, 2024 akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Apollo nchini India. Mwili wa Mafuru unaagwa leo Alhamisi, Novemba 14, 2024 katika viwanja…

Read More

Wenye makaburi Kurasini waanza kulipwa, udanganyifu ukitawala

Dar es Salaam. Wananchi wa Mtaa wa Shimo la Udongo Kata ya Kurasini wilayani Temeke, waliokuwa wamezika ndugu zao katika makaburi ya Bongulo wameanza kulipwa fedha kwa ajili ya kuhamishwa huku udanganyifu ukitawala.  Makaburi hayo zaidi ya 4,000 yatahamishwa kupishwa ujenzi wa bandari kavu inayojengwa na mwekezaji, huku kila moja likilipwa Sh300,000. Hatua hiyo inakuja…

Read More