Lema: Kwenye uchaguzi huu, sitakimbia tena nchi

Arusha. Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amesema kuwa hatakimbia tena nchi kwenye uchaguzi ujao wa Serikali za mitaa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Lema aliyewahi kuwa mbunge wa Arusha Mjini alikimbilia nchini Canada mwaka 2020 baada ya uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na Rais kwa kile alichodai kuhofia maisha yake kabla…

Read More

TIMU 120 KUSHIRIKI KOMBE LA VUNJABEI

NA DENIS MLOWE IRINGA JUMLA ya timu 120 zinatarajiwa kushiriki mashindano ya soka yanayojulikana kwa jina la Vunjabei Cup 2025 yatakayozinduliwa rasmi Januari 11 mwaka huu katika viwanja tofauti. Akizungumza na wanahabari, Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Vunjabei Fadhil Ngajilo alisema kuwa awali yalifahamika kama Ngajilo Cup, sasa yameboreshwa kwa kiwango kikubwa, ambapo zawadi…

Read More