Mlinzi aliyemuua muuza madini kunyongwa hadi kufa

Arusha. Mahakama ya Rufani imebariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa, aliyekuwa mlinzi wa Kampuni ya la Commercial Coal Security Company, Edger Jackson, aliyemuua mfanyabiashara wa madini, Jofrey Mbepela. Edger alihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Songea, Februari 9, 2023 kwa kumuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara akiwa mlinzi wa zamu ofisini kwa marehemu. Jopo…

Read More

LHRC NA NORWAY WASAINI MKATABA MPYA WA MAKUBALIANO

::::::::::::: Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kwa kushirikiana na Ubalozi wa Norway nchini,  wamesaini mkataba mpya wa makubaliano ya ushirikiano wa miaka mitatu wenye thamani ya Krone milioni 19 za Norway, sawa na takribani dola milioni 2 za Kimarekani. Makubaliano hayo yamefikiwa katika hafla rasmi iliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Viongozi wabovu sasa iwe mwisho

Mfalme Juha alikuwa bingwa wa kutatua matatizo kwa njia za mkato. Mara anapolitatua linarudi likiwa limetengeneza madhara ya tatizo (side effects) mabaya kuliko tatizo lenyewe. Lakini hakuwa na njia mbadala kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa hamnazo, halafu alikuwa ndiye kila kitu katika utawala wake. Nani mwingine angeweza kuiongoza nchi iliyoitwa “Kichaa”? Sikatai kwamba Mfalme anaweza…

Read More

Singida Black Stars yafuata mido Burkina Faso

SINGIDA Black Stars imetua kambi ya timu ya Taifa ya Burkina Faso ikipambana kuipata saini ya Clement Pitroipa mwenye uwezo wa kucheza kiungo mshambuliaji na ukabaji. Pitroipa alikuwa nyota wa mchezo wakati Burkina Faso ikiichapa Kilimanjaro Stars katika michuano ya Kombe la Mapinduzi iliyomalizika juzi Jumatatu Kisiwani Pemba akifunga bao moja na kutengeneza lingine wakishinda…

Read More

Lookman  mchezaji bora Afrika 2024

Mshambuliaji wa Atalanta na timu ya taifa ya Nigeria, Ademola Lookmann leo, Desemba 16, 2024 ameibuka mshindi wa tuzo ya mchezaji bora Afrika 2024 ya shirikisho la mpira wa miguu Afrika (Caf) katika hafla iliyofanyika Marrakech, Morocco. Lookman ambaye amekuwa na nyakati bora akiwa na klabu yake ya Atalanta inayoshiriki Ligi Kuu ya Italia ‘Serie…

Read More

CMA, TIC waingia makubaliano kupunguza migogoro ya wawekezaji, wafanyakazi

Dar es Salaam. Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA) na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wameingia makubaliano ya ushirikiano katika kupunguza migogoro ili kuboresha mazingira kwa wawekezaji nchini Tanzania. Makubaliano hayo yamesainiwa jana Alhamisi Mei 2, 2024 jijini Dar es Salaam, katika kipindi ambacho TIC inajivumia ongezeko la wawekezaji katika sekta mbalibali nchini. Akizungumza wakati…

Read More

SABA MBALONI KWA KUINGIZA ZAIDI YA TANI 11 ZA DAWA ZA KULEVYA

Mkazi wa Masaki na mfanyabiashara Riziki Shaweji(40) na wenzake sita wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakidaiwa kuingiza sampuli za dawa kulevya aina ya Mitragyna Speciosa zenye uzito wa kilo 11.596. Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao na wakili wa Serikali, Eric Davies, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Franco Kiswaga. Mbali na Shaweji, wengine ni…

Read More

Ndoa za ‘sogea tuishi’ na mtazamo kisheria, kijamii

Unazijua ndoa za sogea tuishi? Ndoa hizi ziko hivi, yeyote kati ya mwanamke au mwanamume anahamia kwa mwenzie na kuanza kuishi kinyumba bila kufuata taratibu za kisheria, kidini au hata za kimila. Wapo wanaoishi hadi miaka 20, majirani zao wakijua ni mke na mume, wanazaa watoto na wengine kupata hadi wajukuu bila kufunga ndoa inayotambulika…

Read More