Waziri Mkenda aitaka HESLB kuongeza uwazi upangaji mikopo

Dar es Salaam. Waziri wa Elimu, Profesa Adolf Mkenda ameitaka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kuongeza uwazi kwenye mchakato wa upangaji mikopo na vigezo, ili kuondoa malalamiko ambayo wakati mwingine yanasababishwa na makosa yanayofanywa na waombaji. Profesa Mkenda amesema malalamiko mengi ya wanaokosa mikopo au udahili katika taasisi za elimu ya juu…

Read More

Wasiwasi bomba la gesi kufukuliwa, TPDC yafafanua

Dar es Salaam. Wakati wananchi wa Mtaa Mpya, Kata ya Ulongoni B, wakileza kuwa na wasiwasi wa bomba la gesi asilia lililopita maeneo hayo kuwa wazi kufuatia kuzolewa kwa mchanga juu yake, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), limesema bada bomba hilo ni salama Bomba hilo ndilo linalosafirisha gesi asilia kutoka Mtwara kupeleka katika…

Read More

Wataalamu, wananchi waonesha uimara, matobo ya bajeti Zanzibar

Unguja. Siku moja baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuwasilisha bajeti kuu kwa mwaka wa fedha 2025/2026, wataalamu na wananchi wametoa maoni tofauti kuhusu mpango huo wa kifedha. Baadhi wameipongeza bajeti hiyo wakieleza kuwa imegusa sekta mbalimbali muhimu kama elimu, afya, miundombinu na kilimo, jambo linaloashiria dhamira ya Serikali kuimarisha ustawi wa wananchi…

Read More

Droo ya makundi CAF kuchezeshwa Novemba

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza Novemba 3, 2025, itachezeshwa droo ya upangaji wa makundi kwa msimu wa 2025-2026 katika michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho. Droo hiyo imepangwa kufanyika Johannesburg nchini Afrika Kusini ambapo ile ya Kombe la Shirikisho itaanza saa 8 mchana, wakati Ligi ya Mabingwa ikiwa saa…

Read More

Magereza yote kuendesha kesi kimtandao ifikapo 2027

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa amesema watatafuta kila namna kupata rasilimali fedha zitakazowawezesha kujenga makasha ya mahakama mtandao kwenye magereza yote nchini ifikapo mwaka 2027. Bashungwa ameyasema hayo leo Machi 21, 2025 wakati akikabidhiwa makasha mtandao 10 yaliyotengenezwa na Mahakama Tanzania. Amesema kutumika kwa makasha hayo kutakuwa ni daraja litakalounganisha mahabusu na…

Read More

Ashira Moshi, kutoka kitovu cha dhambi hadi eneo la wokovu

Moshi. Kama umewahi kusikia eneo la dhambi limegeuka la wokovu, basi huwezi kuacha kulitaja eneo la Ashira. Eneo hilo  lililopo Marangu, wilayani Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro  kwa mujibu wa wakongwe wa mkoa huo, ndilo lililotumika kama kichaka cha kutupa maiti za watoto waliozaliwa na ulemavu au pacha, baada ya kuuawa. Lakini baadaye, lilitumika na wamisionari…

Read More