DC SAME AWAONYA WAFUGAJI WANAOHUJUMU SKIMU ZA UMWAGILIAJI.

NA WILLIUM PAUL, SAME.  MKUU wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Kasilda Mgeni amewatahadharisha wafugaji wanao hujumu miundombibumu kwa kuingiza mifugo kwenye maeneo ya Skimu za umwagiliaji za Ndungu na Kihurio kuacha mara moja.  Aidha amewaagiza Viongozi wa Skimu na Serikali kwenye maeneo hayo lazima kuwe na usimamizi mzuri wa sheria na taratibu zote zinazohusiana…

Read More

Waandamanaji Kenya wachoma magari, balozi zatoa tahadhari

Dar es Salaam. Matukio ya waandamanaji wa Gen Z kuchoma moto mali na ulipuaji wa mabomu ya kutoa machozi yanaendelea kushuhudiwa nchini Kenya. Manadamano hayo yanayofanywa ikiwa ni muendelezo wa kile walichokianza wiki mbili zilizopita, hoja yao kubwa ikiwa ni kukataa muswada wa fedha kwa mwaka 2024, Rais William Ruto kutangaza kutousaini na kuurudisha bungeni….

Read More

Mwanafunzi wa Chuo cha Mtakatifu Joseph kuzikwa leo

Morogoro.  Mwanafunzi  Hajirath Shaban aliyeuawa kwa kuchomwa kisu na watu wasiojulikana usiku wa Aprili 16 alipokuwa hosteli, anatarajia kuzikwa leo Aprili 18, 2024 kwenye makaburi ya Kola Manispaa ya Morogoro. Mwanafunzi huyo aliyekuwa akisoma Chuo cha Mtakatifu Joseph kilichopo Manispaa ya Morogoro, aliuawa baada ya kuvamiwa akiwa hosteli za chuo hicho zilizopo Mkundi, Aprili 16,…

Read More

ATE YATOA MSAADA WA MASHINE ZA KUSAIDIA KUPUMUA WATOTO WACHANGA

Mashine hizo, zenye thamani ya shilingi milioni 23, zimetolewa kwa njia ya michango binafsi ya wahitimu wa kozi ya “Mwanamke Kiongozi” awamu ya kumi, inayoendeshwa na ATE. Wahitimu hao, waliotoka taasisi mbalimbali ambazo ni wanachama wa ATE, walichangia fedha za kununua mashine hizo ili kusaidia hospitali zinazokabiliana na changamoto. Msaada huo ulitolewa katika Hospitali ya…

Read More

China yatoa fursa zaidi Watanzania kujifunza Kichina

Dar es Salaam. China imetoa fursa ya Watanzania nchini  kupata ufadhili wa kusomeshwa katika Taifa hilo la pili kiuchumi na kwa idadi ya watu duniani. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Taasisi ya Confucius ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam inayofundisha lugha ya Kichina (CI), Profesa, Zhang Xiaozhen, wakati wa kukabidhi msaada wa vitabu 100…

Read More

Mayele anavyomisi bato na Aziz KI Yanga

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele mwenye kumbukumbu nyingi nzuri katika ardhi ya Tanzania, ameshindwa kujizuia kwa kueleza miongoni mwa vitu ambavyo anavimisi kutoka kwa Stephane Aziz KI.  Mfungaji bora huyo wa Ligi Kuu Bara 2022/23 alikuwa sehemu ya watazamaji ambao walijitokeza majuzi kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi na kuishuhudia Yanga ikiibuka na…

Read More