Tuungane pamoja tuimalize Morocco | Mwanaspoti

LEO ndiyo leo na asemaye kesho muongo, maana timu yetu ya taifa ‘Taifa Stars’ inaweza kuandika historia ya kibabe kwenye mashindano ya CHAN au safari yake ikaishia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa itakapokabiliana na Morocco. Na kwa vile ni robo fainali, maana yake timu itakayopoteza itaaga rasmi mashindano hayo yanayoshirikisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani…

Read More

Siri usiyoijua ulaji wa mapera na Uviko-19

Dar es Salaam. Tuna ahamu matunda yenye vitamini C, husaidia kuimarisha kinga ya mwili na kuharakisha uponaji kwa haraka. Hata hivyo, ulishawahi kujiuliza siku ukikosa machungwa ambayo wataalamu wa masuala ya afya, wanatueleza kuwa yamesheheni vitamin C, unaweza kutumia matunda gani ambayo yatakusaidia kupata vitamin C kwa wingi? Jibu hili hapa, matunda kama mapera, yatakupa vitamin…

Read More

Faida za kutibu mapema busha, ngiri

Dar/Pwani. Imani potofu kuhusu ugonjwa wa mabusha bado zinatesa jamii za Pwani, ingawaje tiba ipo, lakini hofu na aibu zinazuia wengi kusaka matibabu, huku watu 778,415 wakitajwa kuwa hatarini. Bagamoyo ni miongoni mwa wilaya tano, ambazo bado waathirika wa ugonjwa mabusha wamesalia, huku baadhi yao wakitafuta tiba za mitishamba na wengine kwa waganga wa kienyeji….

Read More

Mafuriko ya Monsoon huua zaidi ya 700 nchini Pakistan, na mvua nzito zinaendelea kuendelea – maswala ya ulimwengu

Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa ya Kitaifa pia imeripoti majeraha 978 na uharibifu au uharibifu wa nyumba zaidi ya 2,400, wakati zaidi ya mifugo 1,000 imepotea kama Alhamisi, 21 Agosti. Hali ya hewa kali ni utabiri wa kuendelea mapema Septemba, na kuongeza hatari ya mafuriko zaidi, maporomoko ya ardhi na upotezaji wa mazaokulingana na Ofisi…

Read More

Frank Assinki asaini mwaka mmoja Yanga

KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua jijini Dar es Salaam, huku kambi ikipokea ujio wa beki mpya kutoka Ghana, ambaye amepewa mkataba wa mwaka mmoja na tayari ameanza kufanya mambo chini ya kocha Romain Folz. Yanga inajiandaa na mechi za msimu mpya wa 2025-26 ikiwania kutetea mataji matatu kwa mpigo, Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara…

Read More

Taifa Stars twen’zetu nusu fainali CHAN 2024

LEO Ijumaa, timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina mchezo muhimu katika michuano ya CHAN 2024 itakapoikaribisha Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku mazingira ya timu hiyo kufanya vizuri yakiwekwa sawa. Mchezo huo uliopangwa kuanza saa 2:00 usiku, Taifa Stars ni mara ya kwanza inacheza hatua ya robo fainali, wakati…

Read More

Folz afanya maamuzi mazito Dar

KAMA ulikuwa hufahamu kuna miezi kadhaa Yanga ilikuwa inajifua ikitumia viwanja vya kukodi, lakini juzi kikosi hicho kilirudi rasmi kambi yao iliyozoelekea lakini iliyokarabatiwa upya pale Avic Town, Kigamboni, jijini Dar es Salaam baada ya kocha wa timu hiyo, Romain Folz kufanya maamuzi. …

Read More