INEC YAKANUSHA MADAI YA KUUNGANISHWA MFUMO WAO NA NIDA
:::::::: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ya Tanzania (INEC) imekanusha madai yanayosambaa mitandaoni kwamba mfumo wake wa uchaguzi umeunganishwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) na chama cha siasa. Katika taarifa yake ya Leo Jumamosi, INEC imesema madai hayo ni ya uongo na upotoshaji, ikisisitiza kuwa mfumo wa uchaguzi nchini unatumia njia za…