TMA yatoa angalizo la mvua kubwa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ikieleza kuhusu matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano katika maeneo machache ya ukanda wa Ziwa Victoria na Magharibi ya nchi. Taarifa ya TMA iliyotolewa Alhamisi Novemba 21, 2024 inatoa angalizo la mvua kubwa kwa maeneo machache ya ukanda wa Ziwa…

Read More

ANC chasaka washirika kuunda serikali – DW – 04.06.2024

Kinakabiliwa na changamoto hiyo baada ya kupoteza wingi wa viti vya bunge katika uchaguzi uliofanyika wiki iliyopita ikiwa ni mara ya kwanza tangu kilipoingia madarakani miaka 30 iliyopita. Vyama vyenye uwezekano wa kuunda ushirika na chama cha ANC vyenye itikadi tofauti zinazokinzana ni pamoja na Demokratic Alliance, chama cha aliyekuwa Rais wa zamani Jacob Zuma…

Read More

Umetimia mwaka mmoja tangu mashambulizi ya Oktoba 7 – DW – 07.10.2024

Maandamano ya kuadhimisha kumbukumbu ya mwaka mmoja wa mashambulizi ya Oktoba 7 dhidi ya Israel na vita katika Ukanda wa Gaza yamefanyika katika miji ya Berlin, Düsseldorf, Hamburg na Munich na mengine yakigubikwa na ghasia. Polisi walishika doria ili kuhakikisha maandamano hayo yanafanyika kwa amani, japo yaligeuka na kuwa ya vurugu mjini Berlin wakati waandamanaji wanaoiunga mkono…

Read More

WAZIRI MKUU AWAJULIA HALI WAGONJWA MUHIMBILI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimjulia hali Felista Swebe, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa matibabu, wakati alipokwenda katika hospitali hiyo kuwajulia wagonjwa, Julai 10.2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimjulia hali Rose Job, ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es salaam kwa matibabu, wakati alipokwenda katika…

Read More

Wanaotaka kujifunza ZEC kwao kukoje?

MKURUGENZI wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina amesifia usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 kwamba ulikuwa mzuri na safi, na kwamba wanapokea maombi ya watendaji wa nchi kadhaa kutaka kuja kujifunza. Anaandika Jabir Idrissa… (endelea). Huyu Thabit Idarous Faina ndo aliyekuwa kinara katika usimamizi wa uchaguzi ule ambao mpaka sasa,…

Read More