SERIKALI YAENDELEA KUJIDHATITI UDHIBITI WA MAGONJWA ADIMU
Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Afya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo katika Sekta ya Afya, inaendelea kujidhatiti kwa kuimarisha mifumo ya huduma za afya kupitia tafiti mbalimbali ili kuhakikisha wagonjwa wenye magonjwa adimu wanapata huduma stahiki kwa wakati. Hayo yamesemwa leo Machi 4, 2026 na Mganga Mkuu…
Vita vya Wenyewe kwa Wenyewe kwa Wenyewe kwa Sudan vyaongezeka huku Ndege zisizo na rubani zikipiga Kuongeza Ushuru wa Raia na Hatari za Kikanda – Masuala ya Ulimwenguni
Familia ya Kisudani katika kijiji cha Wasat AL Gadaref, Jimbo la Gedaref, karibu na Khartoum, Sudan. Credit: UNICEF/Osman Seif na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 20 (IPS) – Wiki mbili zilizopita zimeashiria ongezeko kubwa la vurugu katika Vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Sudan,…
Geay, Dinday warejea kutoka Daegu Marathon
WANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, Emmanuel Dinday na Benard Geay, wamerejea nchini wakitokea Korea Kusini walikoshiriki mashindano ya Daegu Marathon yaliyofanyika Februari 22,2026 na kubeba heshima ya taifa. Nyota hao wote wanatokea timu ya riadha ya Gabriel Geay inayofanya mazoezi katika kambi ya Madunga iliyopo wilayani Babati mkoani Manyara. Geay ameendelea kuthibitisha ubora…
Bolt Tanzania Yagawa Discount Inayoitwa “BOLTXSIMBU” Kusherehekea Medali ya Kwanza ya Dhahabu ya Tanzania.
Bolt Tanzania kwa fahari inatangaza kuzindua nambari mpya ya punguzo, SIMBU, kwa heshima ya Alphonce Felix Simbu, aliyefanya historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha. Ushindi wa Simbu umeiweka Tanzania kwenye ramani ya riadha ya kimataifa, sambamba na mataifa yenye nguvu kama Kenya. Huu si ushindi…
Mnigeria arithi mikoba ya Assinki Singida Black Stars
BAADA ya Singida Black Stars kumtoa kwa mkopo aliyekuwa beki wa timu hiyo Mghana, Frank Assinki, uongozi wa kikosi hicho tayari umekamilisha usajili wa Mnigeria Victor Chukwuemeka Collins, ili kurithi mikoba yake kwa mkataba wa miaka miwili. Collins aliyezaliwa Novemba 2, 2024, katika mji mkuu wa jimbo la Enugu, Nigeria, amekamilisha usajili huo kwa mkataba…
KONA YA MALOTO: Uchaguzi Mkuu 2025, harakati na ukumbusho muhimu
Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye anawania kurejea madarakani kwa muhula wa pili, hivi karibuni alitoa kauli, na kwa msisitizo alikumbusha kwamba yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Alisema, Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi, amani, utulivu na usalama vitatawala, watu wajiandae kupiga kura bila wasiwasi. Alisema: “Hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.” Kauli hiyo ya Rais Samia,…
INEC yaahirisha uchaguzi Fuoni, sababu yatajwa
Dar es Salaam. Kutokana na kifo cha mgombea ubunge wa Fuoni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abbas Ali Mwinyi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeahirisha uchaguzi wa ubunge katika jimbo hilo hadi pale itakapopanga tarehe nyingine ya uteuzi wa wagombea. Abbas ambaye ni kaka mkubwa wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi,…
Mamia waliogopa kufa katika Landslide ya Darfur – maswala ya ulimwengu
Hadi watu 1,000 wanaogopa kufa katika janga hilo, ambalo lilitokea Jumapili katika Kijiji cha Tarsin, kilicho katika eneo la Jebel Marra kwenye mpaka wa Amerika ya Kati na Kusini mwa Darfur. Maporomoko ya ardhi yalisababishwa na siku za mvua nzito. “Ninaongeza rambirambi zangu za moyoni kwa familia za wahasiriwa na kwa watu wa Sudani wakati…
Uwanja wa Mpaka kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027
SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2027. Akizungumza katika mahojiano na gazeti la The Citizen, Msemaji Mkuu wa Serikali ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,…