Mmoja afariki wawili walazwa Hiace ikigonga watembea kwa miguu

Mwanza. Mkazi wa Mahina jijini hapa, Anastazia Katabazi (32) amefariki dunia kwa kugongwa na gari lililoacha njia na kuwagonga watembea kwa miguu wengine  sita. Majeruhi wawili wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure na wengine watatu wametibiwa na kuruhusiwa kurudi nyumbani baada ya hali zao kuendelea vizuri. Akizungumzia ajali…

Read More

Othman: Mambo haya yataifungua Pemba kiuchumi, kimaendeleo

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman ametaja mambo manne ikiwemo ujenzi wa uwanja wa ndege, akisema ndiyo ufunguo wa kuifungua Pemba kimaendeleo na kiuchumi. Mengine ni miundombinu ya bandari, mawasiliano, utawala mwema na mzunguko wa watu wanaoingia na kutoka Pemba. Othman ameeleza hayo leo Alhamisi Septemba 18,2025…

Read More