Kauli za mamlaka za Serikali hofu ya nyanya zenye dawa kukutwa sokoni

Dar es Salaam. SerikaliĀ kupitia Wizara ya Kilimo na Viwanda na Biashara, zimewasisitiza wakulima kufuata kanuni sahihi za kilimo zilipozungumzia kuhusu taarifa za uwepo wa nyanya sokoni zenye mabaki ya viuatilifu. Septemba 29, 2025 Mwananchi liliripoti uwapo wa nyanya zenye mabaki ya viuatilifu sokoni, huku wakulima na wafanyabishara wakisema uwepo wake husaidia isipondeke, kuharibika na kukaa…

Read More

Chadema Mara waungana na familia kumsaka Heche

Mara. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Mara kimeungana na familia ya Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara, John Heche na kutoa wito kwa Jeshi la Polisi kujitokeza hadharani na kutoa taarifa kuhusu alipo kiongozi huyo. Aidha, chama kimewahimiza viongozi wa dini na wanaharakati wa haki za binadamu kupaza sauti kuhusu suala hilo….

Read More

Tanzania kujiuliza kwa New Zealand Futsal

BAADA ya Timu ya Taifa ya Wanawake ya Futsal kupoteza mechi ya kwanza ya kundi C ya michuano ya Kombe la Dunia la Futsal kwa mabao 10-0 dhidi ya Ureno, leo saa 7 usiku itakuwa na kibarua kingine cha kutafuta pointi tatu. Mashindano hayo yanayoendelea nchini Ufilipino ikiwa hatua ya makundi na Tanzania iliyopo kundi…

Read More

Rais Dkt. Samia Afungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makunduchi Kusini Unguja, Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kufungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi katika eneo la Makunduchi, Shehia ya Tasani Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 20 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Read More

HISTORIA YAANDIKWA UTEKELEZAJI MRADI WA CHUMA MAGANGA MATITU

Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Tanzania imeandika historia mpya ya matumizi ya rasilimali zake kufuatia kusainiwa kwa utekelezaji wa mradi wa uchimbaji wa chuma wenye thamani ya dola milioni 77. Mradi huo ambao utatekelezwa katika eneo la Maganga Matitu Wilayani Njombe unatarajiwa kuchochea maendeleo ya viwanda nchini na hivyo kukuza…

Read More

Waziri Ndejembi akoshwa na Utendaji wa OSHA

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi, ameeleza kuridhishwa na utendaji wa Mamlaka ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) ambao umeimarika kutokana na matumizi ya mifumo ya TEHAMA ambayo imeboresha na kurahisisha upatikanaji wa huduma za usalama na afya nchini….

Read More

BILONI 22 KUWEKA LAMI BARABARA 20 ZA MJI WA SONGEA

Na Albano Midelo,Songea HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ni miongoni mwa Halmashauri 12 nchini ambazo zimepata mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya barabara za lami nzito ili kuboresha miundombinu ya miji,manispaa ya majiji. Akitoa taarifa ya mradi huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas,Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Wakili Bashir…

Read More