‘Kila la kheri, hatukudai’ maneno ya mwisho kwa Zimbwe Msimbazi

KITENDO kilichofanywa na aliyekuwa nahodha wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kuwaaga wanachama na mashabiki wa timu hiyo aliyoitumikia kwa miaka 11 kimeibua hisia za mashabiki hao na mastaa mbalimbali waliomtakia kila la kheri. Usiku wa kuamkia jana Tshabalala amewaaga wanasimba kuwa hatakuwa sehemu ya timu hiyo baada ya kuitumikia kwa miaka 11, ndipo walipoivamia akaunti yake…

Read More

Maktaba, usomaji vinakufa, Bohumata iamke

Dar es Salaam. Katika nchi inayoelekea kuwa ya maarifa, maendeleo ya kweli hayawezi kufikiwa bila kukuza utamaduni wa kusoma. Kusoma si jambo la anasa tena, bali ni hitaji la msingi kama ilivyo afya, elimu na miundombinu.  Katika muktadha huu, Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (Bohumata) ni chombo mama, mhimili mkuu wa maendeleo ya usomaji…

Read More