VIWANDA VITATU VILIVYOSIMAMA UZALISHAJI VYAFUFULIWA TANGA

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah akikagua Mashine mpya katika Kiwanda kinachotarajiwa kuanza kazi Mwezi Januari cha Ply and Panel kinachomilikiwa na Bw. Hussen Moor, katika ziara yake ya kutembelea Viwanda hivyo vilivyopo mkoani Tanga, akiwa ameambatana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Mchatta, tarehe 13…

Read More

UN 2.0 Inahitaji Ushiriki Imara wa Jumuiya ya Kiraia ya Watu – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Umoja wa Mataifa Maoni na Mandeep Tiwana, Jesselina Rana (new york) Ijumaa, Septemba 13, 2024 Inter Press Service NEW YORK, Septemba 13 (IPS) – Msururu wa majanga unahatarisha ulimwengu wetu. Vita vinavyoendeshwa bila sheria, utawala usio na kanuni za kidemokrasia, kuongezeka kwa ubaguzi dhidi ya wanawake na makundi yaliyotengwa, kuharakisha mabadiliko ya hali ya…

Read More

Kuzaa tunaweza, tunashindwaje kusomesha? | Mwananchi

Dar es Salaam. Watanzania tuna msemo mmoja maarufu: “Kuzaa si kazi, kazi ni kulea.” Lakini leo hii msemo huu unaonekana kugeuzwa mzaha. Tunaona watu wengi wakijitosa kwenye starehe ya tendo la ndoa bila kujiuliza matokeo yake. Wengine wanazaa watoto kana kwamba ni jambo la kawaida, lakini hawana maandalizi ya kisaikolojia, kifedha wala kiakili ya kuwalea….

Read More

Madenge aachiwa msala Biashara Utd

HALI imezidi kuwa mbaya zaidi kwa Biashara United ya mkoani Mara baada ya aliyekuwa kocha wa kikosi hicho, Mussa Rashid kuondoka kutokana na ukata unaoikabili, ikiwa ni siku chache baada ya mastaa wengine wanne pia kutimka kikosini. Akizungumza na Mwanaspoti, Mussa alisema kwa sasa amejiweka pembeni na timu hiyo na asingependa kuzungumzia jambo lolote huku…

Read More

Bil 12.4 zimetumika ujenzi wa miradi wilaya ya Momba

MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe Kennan Kihongosi ame tumia sherehe za  siku ya Muungano wa Tanganyika kutaja mafanikio ya miaka mitatu ya Rais Dk. Samia Suruhu akisema alitoa Bilioni 124 zilizojenga miradi. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe … (endelea).  Amesema serikali ya awamu ya sita inafanya kazi kubwa ya kuwa ondolea wananchi changamoto zinazowakumba…

Read More