Simba Wa Vita Mzee Rashidi Mfaume Kawawa Ambaye Angekuwa Hai Jana Angetimiza Umri Wa Miaka 100
Global Publishers March 1, 2026 0 Comments Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na mzee Rashidi Mfaume Kawawa, mwanasiasa mashuhuri na mmoja wa viongozi waliokuwa karibu sans na xdwa Mwalimu Julius Nyerere katika harakati za uhuru na ujenzi wa taifa. Mzee Kawawa aliyesaliwa tarehe 27 Februari 1926 na kufariki 31 Desemba 2009, alikuwa Waziri…