Familia, marafiki wamlilia MC Pilipili

Dodoma. Vilio simanzi na majonzi vimetawala nyumbani kwa aliyekuwa mchekeshaji na mshereheshaji wa shughuli mbalimbali nchini, marehemu Emmanuel Mathias (MC Pilipili) aliyefariki jana mchana jijini Dodoma. ‎Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu Mc Pilipili alikwenda jijini Dodoma kwa ajili ya kusherehesha harusi iliyokuwa ifanyike jana Jumapili Novemba 16,2025 lakini alikutwa na umauti na sababu za…

Read More

Mpango wa kufuatilia mienendo ya viongozi wa umma kuanza mwakani

Musoma. Serikali imetangaza mpango wa kuanza kufuatilia mienendo na tabia za viongozi wa umma wanapokuwa nje ya ofisi. Imesema lengo ni kutaka kuhakikisha wanazingatia maadili na kufuata makatazo na viapo vyao kwa mujibu wa sheria. Ufuatiliaji huo, ambao unatarajiwa kuanza mapema mwaka ujao, unalenga kubaini kama matendo ya viongozi yanalingana na maadili yanayotarajiwa na Watanzania….

Read More

NAIBU WAZIRI PINDA AJIANDIKISHA KIJIJINI KWAKE KIBAONI

Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda akiajiandikisha kwenye orodha ya mpiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa katika mtaa wa Ndemanilwa kata ya Kibaoni halmashauri ya Mpimbwe mkoa wa Katavi tarehe 19 Oktoba 2024. ********************** Na Munir Shemweta, MLELE Naibu…

Read More

FCC KUENDELEA KUMLINDA MJALI,WAINGIA MAKUBALIANO NA CTI

  Na Mwandishi Wetu TUME ya Taifa ya Ushindani (FCC) imesema itahakikisha inaendelea kumlinda mlaji nchini hususani bidhaa zinazotoka katika viwanda vya ndani na vile vya nje. Kauli hiyo imesemwa Juni 5,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa FCC, William Erio wakati wa hafla maalum ya uitiwaji wa saini mashirikiano kati ya Time…

Read More

IPBES Inatoa Wito wa Masuluhisho Kamili, Mabadiliko ya Mabadiliko katika Kukabili Upotevu wa Bioanuwai – Masuala ya Ulimwenguni

Bioanuwai ni muhimu kwa usalama wa chakula na lishe. IPBES imeonya kuwa upotevu wa viumbe hai unaongezeka kwa kasi duniani kote, huku spishi milioni 1 za wanyama na mimea zikitishiwa kutoweka. Credit: Busani Bafana/IPS by Busani Bafana (bulawayo) Ijumaa, Oktoba 11, 2024 Inter Press Service BULAWAYO, Oktoba 11 (IPS) – Mkabala wa kiujumla na mabadiliko…

Read More

Kundi B linavyoipa matumaini Taifa Stars CHAN 2024

Timu 19 zilizogawanywa katika makundi manne zitashiriki Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani (CHAN) 2024 zitakazofanyika kuanzia Agosti 2 hadi 30 mwaka huu katika nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Kundi A ambalo mechi zake zitachezwa katika nchi ya Kenya, linaundwa na wenyeji, Morocco, Angola, DR Congo na Zambia huku…

Read More

JKT Morogoro kugawa chakula kwenye vikosi vingine

Morogoro. Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi 837 KJ Chita mkoani Morogoro wameanzisha skimu ya umwagiliaji lengo ni kuepuka kilimo cha kutegemea mvua ambazo wakati mwingine hazitabiriki. Hayo yamesemwa na Mkuu wa JKT Meja General Rajabu Mabele, leo Jumanne Machi 25,2025 alipotembelea kikosi hicho kinachofanya kilimo cha kimkakati kwa mazao ya mpunga na ufugaji wa…

Read More

Sheikh Twaha ahimiza wanasiasa kuhubiri amani, mshikamano

Waumini wa dini ya Kiislamu (Sunni) mkoani Morogoro wamekusanyika kwenye swala ya Eid-ul -Adh – haa iliyofanyika katika viwanja vya shule Sekondari Forest Hill Manispaa ya Morogoro katika ibada ambayo imeongozwa na Imam Abdalaah Ahmad leo Ijumaa Juni 6, 2025. Eid-ul -Adh – haa ni sikukuu inayoadhimishwa na Waislamu ulimwenguni kote kufuatia kukamilika kwa ibada…

Read More