Hali tete maelfu wakimbia DRC, raia wasota kutafuta hifadhi

Dar es Salaam. Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeingia tena katika taswira mpya ya machafuko, ikiwa ni mfululizo wa miaka mingi ya ghasia ambazo zimelifanya eneo hilo kuwa kitovu cha vita visivyokoma. Mashambulizi ya waasi wa M23 yameibuka tena yakishika kasi katika hali inayovuruga makubaliano ya amani yaliyofanyika wiki iliyopita yakipewa matumaini…

Read More

Mpina kuwaburuza kortini Spika Tulia, Waziri Bashe

Dar es Salaam. Baada ya ukimya wa siku sita tangu alipoadhibiwa kutohudhuria vikao 15 vya Bunge, Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina ametangaza mpango wa kuwaburuza mahakamani Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson. Pamoja na Dk Tulia, mbunge huyo amesema hatua kama hizo atazichukua dhidi ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, Bodi ya Sukari Tanzania…

Read More

Madiwani 10 Simanjiro wajitosa uenyekiti wa halmashauri

Simanjiro. Jumla ya madiwani wateule 10 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejaza fomu za kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, huku wengine saba wakijitokeza kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, Baraka Kanunga, hatashiriki katika kinyang’anyiro hicho baada ya kupoteza katika kura za maoni za CCM kwa mpinzani…

Read More

Rais Samia kugharamia matibabu ya kijana aliyetekwa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema yeye binafsi atabeba gharama zote za matibabu ya kijana Edgar Mwakabela, maarufu kama Sativa anayedaiwa kutekwa, kuteswa na kutupwa katika pori la Hifadhi ya Katavi akiwa na majeraha mbalimbali mwilini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Sativa ambaye anaendelea na matibabu katika hospitali ya Aga Khan kuanzia usiku wa tarehe 30…

Read More

Chadema yaita Kamati Kuu ya dharura kujadili uchaguzi

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu (CC), kujadili yaliyotokea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa ya chama hicho, iliyotolewa na John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, imesema kikao…

Read More

ICGLR YAJIPANGA KUIMARISHA AMANI KATIKA KANDA

:::::::: Imeelezwa kuwa Jumuiya ya nchi Wanachama wa Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) ni jukwaa sahihi la kupata ufumbuzi wa Kudumu wa changamoto zinazozikabili nchi wanachama kama vile ukosefu wa amani, usalama na maendeleo endelevu. Hayo yamebainishwa jijini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Novemba 13, 2025 wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Kawaida…

Read More