MIPANGO KABAMBE NA NDOTO KUU ZA MAFANIKIO YANGA ZILIZOBEBWA NA MIGUEL GAMOND – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika ulimwengu wa soka, ambapo kila dakika ni fursa ya kujenga au kubomoa ndoto, kocha mahiri Miguel Gamondi anaonekana kuwa na ramani ya ushindi iliyochorwa kwa umakini mkubwa. Akijiamini lakini akiwa na miguu yote miwili ardhini akijiaanda kukikabili kikosi cha Vital O ya Rwanda hapo kesho, Gamondi anafahamu kwamba mechi iliyopita ilikuwa tu sehemu ya…

Read More

Dodoma Jiji wamesajili vizuri watabaki

HIZI timu za daraja la kati kiuchumi mara nyingi lengo lao kuu huwa ni kubakia Ligi Kuu na huwa hazitaki sana makuu kama zile zenye msuli wa kifedha. Kuchukua ubingwa au kumaliza msimu timu ikiwa katika nafasi za juu kwenye msimamo wa ligi kunaendana na gharama kubwa ambayo hizo timu za uchumi wa kati haziwezi…

Read More

Televisheni ya Taifa ya Iran yashambuliwa, yatoa kauli

Makombora yaliyorushwa na Israel yamelenga zilipo ofisi za makao makuu ya Televisheni ya Taifa ya Iran (IRIB) yaliyopo jijini Tehran nchini humo. Al Jazeera imeripoti leo Juni 16, 2025, kuwa Jeshi la Israel (IDF) kabla ya kutekeleza shambulizi hilo lilitoa onyo likiamuru raia kuondoka maeneo yenye miundombinu ya umma. Shambulio hilo lilikatiza matangazo kwa muda,…

Read More

Hati ya Ekari 62,000 Yakabidhiwa kwa Mradi wa Dola Milioni 640 wa Kilimo Biashara Kilwa

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv  SERIKALI imekabidhi hati isiyo asili (derivative title) kwa Kampuni ya Pan Tanzania Agriculture Developments Ltd kama hatua muhimu ya kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kilimo na kuongeza thamani ya ardhi inayotumika kwa shughuli za uzalishaji. Hati hiyo wamekabidhiwa na  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania…

Read More

Wakazi wachekelea kukamilika mradi wa maji Songwe

Songwe. Baada ya shida ya miaka mingi, wakazi wa Kijiji cha Iseche wilayani Songwe wameanza kupumua baada ya mradi wa majisafi na salama uliokuwa ukijengwa katika eneo hilo kukamilika. Baadhi ya wanawake kijijini hapo wanasema kero ya maji ilikuwa ikiteteresha ndoa zao, kukamilika kwa mradi huo. Wamesema walikuwa wakitumia muda mwingi na kusaka maji kiasi…

Read More