Afariki ajalini Tanga akielekea Moshi, wanne wajeruhiwa

Tanga. Safari ya kusherehekea sikukuu ya Krismasi mjini Moshi imegeuka majonzi baada ya dereva wa gari dogo, Justine Jacobo Njau (32), kufariki dunia papo hapo na wengine wanne wakijeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea alfajiri ya Desemba 25, 2025, mkoani Tanga. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, ajali hiyo ilitokea…

Read More

ALAF mshindi wa tatu tuzo za PMAYA

Na Humphrey Shao, Michuzi TV MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango amelipongeza Shirikisho la Wenye Viwanda (CTI) kwa kuratibu vyema tuzo za wenye viwanda tangu kuanzishwa kwake. Alitoa pongezi hizo leo jijini Dar es Salaam wakati wa kutoa tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka Viwandani zinazoratibiwa na CTI), President Manufacturer of the Year…

Read More

ACT Wazalendo yamjibu Rais Samia kuhusu amani, utulivu

Shinyanga/Mbeya. Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema ili kupatikane amani na utulivu nchini, Serikali haina budi kuzingatia utendaji haki kwa makundi mbalimbali ya wananchi. Kauli ya Dorothy inajibu kilichoelezwa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa hema la Kanisa la Arise and Shine, aliposisitiza kuendelea kuwepo kwa amani na utulivu…

Read More

Muuguzi matatani, baada ya mama kujifungua pasipo usaidizi

Kigoma. Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza imemsimamisha kazi muuguzi katika Zahanati ya Basanza, Alex Lyimo kupisha uchunguzi baada ya kuhusishwa na malalamiko ya kumuacha Prisca Makenzi kujifungua bila msaada wake akiwa zamu Juni 9, 2024. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonyesha Prisca (17) anayedaiwa kujifungua bila msaada wa mtoa…

Read More

Simbachawene: Matumizi ya e-office serikalini ni lazima

Iringa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amewataka wakuu wa taasisi zote za umma kutumia Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-office) katika utendaji kazi na kuachana na matumizi makubwa ya karatasi katika utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka. Wito huo umetolewa jana Alhamisi Mei 9, 2024 wakati…

Read More

Mwanamume wa Uingereza aliyetuhumiwa kuipeleleza China akutwa amefariki katika bustani

Mwanamume anayeshutumiwa kusaidia mamlaka ya Hong Kong kukusanya taarifa za kijasusi nchini Uingereza amefariki katika hali isiyoeleweka, polisi wa Uingereza waliripoti Jumanne (Mei 21.) Matthew Trickett mwenye umri wa miaka 37 alikuwa miongoni mwa wanaume watatu walioshtakiwa mapema mwezi huu kwa kukubali kushiriki katika kukusanya taarifa, ufuatiliaji na vitendo vya udanganyifu ambavyo vina uwezekano wa…

Read More

Profesa Saffari aibuka, amwonyesha njia Tundu Lissu

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kutangaza nia ya kuwania uenyekiti, mwanasiasa mkongwe, Profesa Abdallah Saffari amesema amefurahishwa na uamuzi huo, lakini amempa tahadhali kuelekea mchakato huo. Amesema kwa uzoefu wake wa siasa za Tanzania, mara nyingi ni vigumu kuwashinda wenyeviti waliopo madarakani kwa sababu mbalimbali, akijitolea…

Read More

Mgombea urais SAU aja na nguzo tatu kuinua uchumi wa Tanzania

Moshi. Mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara ameahidi endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi, atafanya mageuzi ya kiuchumi na kijamii kupitia nguzo kuu tatu za Kilimo, Viwanda na Teknolojia. Amesema chama chake kinalenga kutatua changamoto zinazowakabili Watanzania na kujenga kesho bora kwa vizazi vijavyo….

Read More