DC MPOGOLO ATUNIKIWA TUZO – MICHUZI BLOG

 MTANDAO  wa Polisi Wanawake Tanzania  (TPF-Net) Wilaya ya Ilala umemtunuku tuzo maalumu Mkuu wa  wilaya hiyo Edward Mopogolo ya  kutambua mchango wake katika  kujenga jamii salama,jumuishi na yenye usawa wa kijinsia  DC Mpogolo amekabidhiwa tuzo hiyo  ofisini kwake jijini Dar es Salaam, leo. Aliushukuru mtandao TPF Net  kwa kutambua mchango huo na kwamba tuzo hiyo…

Read More

Mgombea CWT aomba mdahalo na wenzake

Dodoma. Kampeni za uchaguzi kwa nafasi ya Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) zimeshika kasi, huku mgombea kijana kuliko wote akiomba mdahalo na wenzake. Uchaguzi Mkuu wa CWT unatarajiwa kufanyika Mei 29, 2025 jijini Dodoma na tayari wagombea wameanza kupishana mikoani kusaka kura. James Ndomba (36), mwalimu wa Sekondari ya Msalato jijini Dodoma, anatajwa…

Read More

WALIMU SEKONDARI FUNDISHENI KIINGEREZA KWA UMAHIRI-Dkt. Msonde

Na. James Mwanamyoto, OR-TAMISEMI Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka walimu wa shule za Sekondari nchini kufundisha wanafunzi lugha ya kiingereza kwa umahiri ili kuwawezesha kupata ufaulu mzuri katika masomo yote ya mtihani wa kidato cha nne, ikizingatiwa kuwa kiingereza ndio lugha rasmi ya kufundishia. Dkt. Msonde ametoa wito huo…

Read More

DK.SAMIA AUHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI UVINZA AKIELEZEA MIRADI YA MAENDELEO

Na  Said Mwishehe,Michuzi TV-Uvinza MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia SuluhHassa ameendelea kuchanja mbuga akisaka kura kuelekea Uchaguzi Mkuu ambapo leo Septemba 13,2025 amehutubia maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma. Katika mkutano huo uliofanyika katika Uwanja wa Tambuka reli uliopo Kata ya Kazula Mimba wilayani Uvinza mkoani Kigoma Dk.Samia ameeleza yaliyofanyika…

Read More

Urais mwiba kwa vyama vya siasa

Moshi. Urais ni kaa la moto ndani ya vyama vya siasa nchini na mara nyingi kuleta mtafaruku! Huu ndio mjadala unaoendelea kwa sasa baada ya makada wa vyama mbalimbali kuibuka hadharani na kupinga michakato ya uteuzi wa wagombea wao. Kwa kuegemea uzoefu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha Wananchi (CUF) mwaka 2015,…

Read More

UKRAINE YAFANIKIWA KUDHIBITI ENEO LA URUSI LA KILOMITA ZA MRABA 1,000 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Vikosi vya Ukraine vimedhibiti kilomita za mraba 1,000 za ardhi ya Urusi katika operesheni kubwa ya kijeshi inayovuka mpaka, ikiwa ni moja ya uvamizi mkubwa zaidi katika miaka miwili na nusu ya vita, alisema Kamanda Mkuu wa Ukraine, Oleksandr Syrskyi. Kamanda Syrskyi alithibitisha kuwa vikosi vya Ukraine vinaendelea na operesheni ya kimkakati katika eneo la…

Read More

Wanavyuo Dodoma waonja utamu wa chimbo la nyuki

  TAMASHA la Chimbo la Nyuki lililofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma, limechagiza vyema shamrashamra zinazoanza za Maadhimsho ya Siku ya Nyuki Duniani huku wanavyuo mbalimbali wa Jijini Dodoma wakifurahi, maonesho mbalimbali ya bidhaa zinazotokana na Nyuki pamoja na Maonyesho ya jukwaani kutoka kwa wasanii mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).  Akizungumza…

Read More

HESLB yaja na ‘Fichua’ kuwasaka wadaiwa sugu

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imezindua Kampeni Maalumu inayolenga kuwashirikisha wananchi kwa kutumia simu na mitandao ya kijamii, kuwafichua wadaiwa sugu wa mikopo ya elimu ya juu. Kampeni hiyo, inayofahamika kama #Fichua imezinduliwa jijini Dar es salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia ambaye amesema kampeni hiyo itaendeshwa…

Read More

ACB yazindua kadi ya Visa kukidhi matarajio ya wateja

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba (ACB) imezindua huduma ya kadi za VISA ambazo ni mahususi kwa kufanya miamala ya kifedha na ina uwezo wa kutumika sehemu yoyote duniani. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Mkurugenzi Mtendaji wa ACB, Silvest Arumasi, amesema benki inafanya maboresho makubwa ya huduma za kifedha kwa wateja wake ili…

Read More