Samia: Tanzania iheshimiwe kama inavyoheshimu wengine

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania kama Taifa linapenda liheshimiwe kama linavyoheshimu mataifa mengine na katika kulinda masilahi ya nchi, hakuna mbadala. Amesema lazima kuhakikisha tunalinda utu, uhuru, na heshima ya Taifa letu na kwamba nchi itaendelea kuongozwa kwa misingi ya sera ya nje iliyoasisiwa na waasisi ya kutofungamana na upande wowote….

Read More

Zubaa uchekwe! | Mwanaspoti

UNAIJUA furaha ya kufanikisha jambo dakika za mwisho huku kila mmoja akikutolea macho kuona kama utafanikiwa au la? Basi jambo hilo hadi kufikia saa 12 jioni Jumapili hii mbivu na mbichi zitafahamika. Katika muda huo kuna baadhi ya timu na wachezaji binafsi wanafukuzia jambo ambapo katika kipindi hiki cha mwishoni mwa ligi, ukizubaa utachekwa wakati…

Read More

Wafungwa watatu raia wa China watinga mahakamani kutoa ushahidi kesi ya kughushi msamaha wa Rais

Dar es Salaam. Mashahidi watatu raia wa China ambao pia ni wafungwa wanaotumikia vifungo gerezani wametinga katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kutoa ushahidi katika kesi ya kughushi msamaha wa Rais kwa wafungwa inayomkabili aliyekuwa mkuu wa Gereza la Ukonga, Josephat Mkama na wenzake wawili. Mkama na wenzake, Sibuti Nyabuya, aliyekuwa ofisa Tehama wa Gereza…

Read More

M23 yadaiwa kuwaua walinda amani 13 wa UN

Goma. Waasi wa kundi la M23 wanadaiwa kuwaua wanajeshi na walinda amani 13 wa Umoja wa Mataifa (UN) katika majibizano ya risasi yaliyotokea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Shirika la Habari la Associated Press limeripoti jana, Januari 26, 2025 kuwa M23 walitekeleza mauaji hayo Jumamosi katika kile kinachotajwa kuwa uvamizi mpya wa…

Read More

Changamoto hizi chanzo tatizo la afya ya akili

Dar es Salaam. Tanzania ikiwa bado haina sera rasmi ya afya ya akili, wataalamu wa saikolojia tiba wametaja masuala ya kiuchumi na kijamii, kama vyanzo vya   kuongezeka kwa watu wenye changamoto ya afya ya akili nchini. Mpaka sasa Tanzania haina sera inayozungumzia afya ya akili na wadau wanasema Sheria ya Afya ya Akili ya mwaka…

Read More

Chungu na tamu ongezeko la maji Ziwa Victoria, Tanganyika

Mwanza/Muleba. Athari za ongezeko la maji Ziwa Victoria na Tanganyika zinazidi kuonekana kila kukicha. Hii ni baada ya wavuvi zaidi ya 100,000 mkoani Kigoma kudaiwa kuathirika na ongezeko hilo huku kaya 214 za Muleba Mkoa wa Kagera zikikosa vyoo. Pia gharama za kupakia na kushusha mizigo katika soko la kimataifa la samaki mwalo wa Kirumba jijini…

Read More

Mgunda aahidi taji la CECAFA Simba Queens

Wakati msafara wa wachezaji 25 wa Simba Queens wakiondoka jana kuelekea Ethiopia ambako timu hiyo itashiriki mashindano ya klabu bingwa wanawake ya baraza la vyama vya mpira wa miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), kocha wa timu hiyo, Juma Mgunda ametamba kutwaa ubingwa. Mashindano hayo ya kila mwaka, bingwa wake ndio hupata nafasi ya kushiriki…

Read More

Kimbunga Hidaya chapungua  nguvu, tahadhari yatolewa

Dodoma. Serikali imesema kuwa kimbunga Hidaya kilichoipiga Pwani ya Mashariki wa Bahari ya Hindi kinaendelea kupungua nguvu kadri kinavyoelekea nchi kavu baada mwenendo wa  mifumo ya hali ya hewa kuonyesha kuwa kimefikia kasi ya kilomita 342 kwa dakika majira ya saa tatu asubuhi kutoka kasi ya kilomita 401 iliyokuwepo saa 9 alfajiri kuamkia leo. Mapema,…

Read More