SBL yaibuka kinara mzalishaji wa Pombe Kali Tuzo za PMAYA 2024
SERENGETI Breweries Limited (SBL) imeibuka kuwa mzalishaji bora wa pombe kali kwenye Tuzo za Rais kwa Wazalishaji Bora (PMAYA), zilizofanyika katika ukumbi wa Super Dome, Masaki, Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Tuzo za PMAYA, ambazo ni miongoni mwa heshima za juu kabisa kwa wazalishaji nchini Tanzania, zimeundwa kutambua na…