UN inataka hatua za kuamua kumaliza migogoro wakati Gaza na Benki ya Magharibi inasumbua – maswala ya ulimwengu

“Leo ulimwengu unaonekana kwa kutisha kwani hali katika eneo lililochukuliwa la Palestina linaendelea kuzorota Viwango ambavyo havionekani katika historia ya hivi karibuni“Alisema Ramiz Alakbarov, Mratibu Maalum wa UN kwa mchakato wa amani wa Mashariki ya Kati, akizungumza kutoka Yerusalemu. Alianza kwa kuzingatia Gaza, ambayo “inazama zaidi ndani ya msiba, iliyowekwa alama na majeruhi wa raia,…

Read More

TANZANIA YASISITIZA ULIPAJI MICHANGO SADC

TANZANIA imeahidi kukamilisha mchango wake wa mwaka katika Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na kuzisisitiza nchi nyingine wanachama kufanya hivyo ili kuiwezesha Jumuiya hiyo kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Hayo yamejiri wakati wa Kikao cha Kamati ya Fedha cha Jumuiya ya SADC kilichofanyika tarehe 10 Agosti 2024, Harare, Zimbabwe. Katika kikao hicho, ujumbe…

Read More

Padre awataka wazazi kuacha ‘kufuga’ watoto

Geita. Wazazi wametakiwa kuacha tabia ya ‘kufuga’ watoto kwa kuwapa chakula na mavazi pekee badala ya ‘kulea’ kwa kuwajengea maadili na kuwasaidia watu bora wenye uwezo wa kujisimamia na kuwa na maisha mazuri ya baadaye. Akizungumza wakati wa mahafali ya nne ya Shule ya Msingi Ave Marie iliyopo Mjini Geita, Padri wa Kanisa Katoliki Geita,…

Read More

Maarifa ya asili katika ukuzaji uchumi wa Taifa

Kila kizazi kina wazo, ndoto na azma yake ya kuweka alama mpya katika ukuaji wa taifa. Miaka mingi iliyopita, Tanzania ilijikita katika Dira 2025, iliyokuwa mwongozo wetu katika kujenga msingi wa uchumi wa kati. Leo, tunapaa mbali zaidi na kuzindua Dira mpya ya 2050. Lengo kuu la maono haya ni kuleta Tanzania kuwa nchi yenye…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Marefa wanashindana kufanya makosa

KUIGA kitu kizuri sio jambo baya na hasa kile kinachoigwa kinagusa moja kwa moja umma kwa hisia chanya badala ya hasi. Ukiwauliza swali marefa wengi wa kibongo kwamba wanataka kuwa kama nani basi utaorodheshewa majina ya marefa wakubwa wanaofanya vizuri duniani. Hao marefa wakubwa duniani hawajapata huo umaarufu kwa bahati ya mtende bali uchezeshaji wao…

Read More

Dk. Biteko azitaka wizara, taasisi, wakala wa serikalini kutenda bajeti ya kutosha Shimiwi

  WIZARA, Taasisi, Mashirika, wakala  za Serikali zimetakiwa kutenga Bajeti ya kutosha kwa ajili ya kushiriki Michezo ya SHIMIWI ili kukidhi malengo na misingi ya kuanzishwa kwa kwa michezo hiyo na kuleta tija. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Agizo hilo limetolewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko wakati akimwakilisha Rais…

Read More

Basi la abiria lagonga treni Kigoma, 14 wajeruhiwa

Dar es Salaam. Abiria 14 wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Classic linalofanya safari zake kati ya Kigoma na Dodoma kugonga treni ya mizigo. Ajali hiyo imetokea usiku wa Novemba 09, 2024 katika makutano ya reli na barabara kati ya Malagarasi na Nguruka, mkoani Kigoma ikihusisha treni ya mizigo Y611 iliyokuwa ikitoka Kigoma kwenda…

Read More

Moravian yapata Askofu Mkuu, kuapishwa Juni 2

Mbeya. Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo Kuu la Magharibi (KMT-JKM), Dk Alinikisa Cheyo amepata mrithi wake baada ya Mchungaji Robert Pangani kuteuliwa kushika nafasi hiyo. Mchungaji Pangani atasimikwa kukalia kiti hicho Juni 2 mwaka huu, huku Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe hizo. Mchungaji Pangani amechaguliwa na…

Read More

Majeruhi ajali ya kanisa waeleza mkasa mzima

Dodoma. Siku moja baada ya watu wanne kupoteza maisha kutokana na kuangukiwa na ukuta wa Kanisa la Anglikana mkoani Dodoma, majeruhi wameelezea jinsi ajali ilivyotokea. Mbali na waliopoteza maisha, wengine 17 walijeruhiwa na kupelekwa hospitali kupata matibabu. Hata hivyo, Askofu wa kanisa hilo, Dk Dickson Chilongani, ametangaza michango kwa dayosisi ya kati ili kugharamia matibabu…

Read More