MGOMBEA UBUNGE CCM CHATO KASKAZINI KUANZA NA SOKO KUU

Mgombea Ubunge kupitia CCM Jimbo la Chato Kaskazini akiomba kura kwa wananchi.Mgombea Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini, Mwl. Cornel Magembe,akiomba kura kwa wananchi wa Jimbo hilo. …….. MGOMBEA Ubunge Jimbo la Chato Kaskazini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwl.Cornel Magembe, ameahidi kuanza na ujenzi wa soko kuu la wilaya ya Chato mkoani Geita iwapo atachakuguliwa…

Read More

Mastaa Yanga wampa presha kocha Angola

WALE wapinzani wa Yanga, Waliete Benguela, wanaendelea kujipanga kabla ya kukutana na Yanga Septemba 19, lakini kocha mpya wa kikosi hicho amewataja mastaa wawili ambao wanampa presha. Yanga ikimaliza sherehe za kilele cha wiki ya Mwananchi, itakuwa na akili ya kujipanga kwenda kukutana na Simba, kwenye mchezo wa ngao ya jamii, utakaopigwa Septemba 16, 2025….

Read More

Fei Toto abeba zigo kubwa Dar es Salaam Dabi

KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kesho Jumapili anakutana na waajiri wake wa zamani Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara huku akiwa na zigo zito linalomkabili. Nyota huyo ambaye huu ni msimu wa tatu anaitumikia Azam tangu alipojiunga nayo 2023-2024 akitokea Yanga. Kwa msimu huu, tayari Fei Toto amevunja rekodi yake…

Read More

MEELA AWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUKEMEA SWALA LA WIZI.

MOSHI.  Wimbi la wizi, hasa wa mita za maji, limeendelea kuwa changamoto kubwa katika baadhi ya maeneo ya Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, hali inayozua wasiwasi kwa wananchi na viongozi wa jamii. Kutokana na hali hiyo, viongozi wa dini wametakiwa kutumia nafasi zao kuzungumzia na kukemea vitendo hivyo pamoja na kuwaombea vijana wanaojihusisha na uhalifu…

Read More

Taifa yaimba na Mbosso | Mwanaspoti

Ni burudani tu ndani ya Uwanja wa Mkapa katika Simba Day, ambapo mashabiki wa Simba wameimba pamoja na msanii Mbosso. Mbosso ambaye ameanza kwa kuimba wimbo wake mpya wa Selemani kabla ya kuimba vigongo vyake kadhaa amewateka zaidi mashabiki kwa kuimba nao ‘live’ wimbo wake wa ‘Haijakaa sawa’ ambao aliutoa wakati yupo chini ya lebo ya…

Read More

Urasimu, tozo za kero kwenye taasisi za umma, mashirika kumulikwa

Dodoma. Serikali imetangaza mchakato wa kupitia upya mashirika na taasisi za umma zinazohusika na udhibiti na usimamizi wa shughuli za kibiashara. Lengo la Serikali ni kupunguza urasimu unaosababishwa na kanuni na tozo zisizo za lazima, zinazokwamisha ukuaji wa biashara nchini. Mpango huu pia unalenga kuondoa urasimu unaochangia kuchelewesha uwekezaji na kupunguza tija katika sekta ya…

Read More

Iran yaishambulia UAE, vita yazidi kupamba moto

Mashambulizi mapya yamezuka katika vita vinavyoendelea Mashariki ya Kati baada ya Iran kushambulia Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) leo Jumanne, hatua inayotafsiriwa kama kulipiza kisasi dhidi ya Marekani na washirika wake. Mashambulizi hayo yanakuja wakati vita kati ya Iran na muungano wa Marekani na Israel ikiingia wiki ya tatu, huku zaidi ya watu 2,000…

Read More