TPA yaja na mkakati wa soko la DRC

Dar es Salaam. Baada ya mkakati wa maboresho kuongeza ufanisi wa utendaji wake, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) sasa imegeukia kuyasaka masoko, ikianza na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). DRC inachangia zaidi ya asilimia 40 ya mizigo yote inayosafirishwa kupitia Bandari ya Dar es Salaam, kwa mujibu wa ripoti ya TPA ya…

Read More

Prof. Ndakidemi aitaka TMA kutoa taarifa kwa njia ya SMS

MBUNGE wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi (CCM) ameishauri Serikali kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) kutumia simu za mkononi ili kuwapeleka wananchi taarifa muhimu pale inapotokea kuna hali tete katika maeneo mbalimbali kuhusu hali ya hewa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Prof. Ndakidemi ametoa rai hiyo leo Jumatatu bungeni jijini Dodoma wakati…

Read More

Usafiri wa bodaboda kupangiwa bei elekezi Zanzibar

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imetangaza kuwa iko katika hatua za mwisho za kuandaa viwango maalumu vya nauli kwa waendesha bodaboda, ili kuondoa changamoto ya kila mmoja kuweka bei anayoitaka, hivyo kuwaumiza wananchi wanaotegemea usafiri huo. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdulatif Yussuf, leo Alhamisi, Mei 15,…

Read More

Jeki ilivyomsababishia ulemavu utingo | Mwananchi

Musoma. Hujafa hujaumbika! Ni msemo unaoeleza maisha ya sasa ya Jackson Hamisi aliyepata ulemavu akiwa anatengeneza gari. Hamisi (26), mkazi wa Kijiji cha Masurura wilayani Butiama, Mkoa wa Mara anasema Aprili 29, 2021 saa 12:00 jioni ni siku ambayo kamwe hataisahau maishani mwake. Ni siku iliyobadilisha maisha kutoka alivyokuwa mwenye viungo kamili hadi kuwa mwenye…

Read More