Chalamila awaomba radhi watumiaji wa mwendokasi

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaomba radhi wakazi wa Kimara kuhusu adha wanayopitia wanapohitaji kutumia usafiri wa mabasi yaendayo haraka, ikiwemo kupita dirishani. Ametoa kauli hiyo huku akiwapa ahadi ya neema siku chache zijazo, wakati ambao mabasi mapya yanatarajiwa kupokelewa. Haya yanasemwa wakati ambao Kampuni ya Mabasi Yaendayo…

Read More

Simba yaichapa Bravos Kwa Mkapa

Simba imeendelea kuwa na matokeo mazuri mfululizo baada ya kuichapa FC Bravos do Maquis ya Angola bao 1-0 kwenye mchezo wa kwanza wa Kundi A katika Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa jioni ya leo Novemba 27, 2024 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Bao la ushindi la Simba limepatikana dakika ya 27 kupitia kiungo…

Read More

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA KUMBUKIZI YA BABA WA TAIFA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Francis Xavier iliyopo Nyakahoja Jijini Mwanza. Tarehe 14 Oktoba 2024. …… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…

Read More

TPA YAENDELEA KWA KASI YA MABORESHO YA TSHARI ILIYOZAMA MAFIA

Mwamvua Mwinyi, Mafia Desemba 9, 2024 KAMPUNI ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) inaendelea na maboresho ya miundombinu katika kisiwa cha Mafia, ikiwemo kurekebisha tshari iliyozama Septemba mwaka huu, ili kurejesha huduma muhimu za usafiri wa majini. Sambamba na hilo, TPA kwa kushirikiana na wataalamu, inaendelea kutafuta eneo sahihi kwa ajili ya ujenzi wa bandari…

Read More

TTCL YALETA MAPINDUZI YA KIDIJITALI NCHINI – MWAKAGENDE

  Na Okuly Julius Dodoma Mbunge wa viti maalum kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni muwakilishi wa wanawake mkoa wa Mbeya, Sophia Mwakagende amelipongeza shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL kwa kuifungia nchi katika eneo la Mawasiliano. Amesema maboresho makubwa yaliyoyafanywa na TTCL katika kuhudumia umma wa watanzania hasa katika ulimwengu wa…

Read More

UFARANSA YAIPATIA TANZANIA SHILINGI BILIONI 323.4 KUTEKELEZA MIRADI YA HIFADHI YA MISITU NA NISHATI YA UMEME

Na Farida Ramadhani,WF, Dar es Salaam Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo La Ufaransa (AFD) wamesaini mikataba minne (4) yenye jumla ya euro milioni 118.8 sawa na takriben shilingi bilioni 323.4 kwa ajili kutekeleza miradi mbalimbali nchini ikiwemo Awamu ya Pili ya mradi wa nishati jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga, pamoja na uendelezaji wa…

Read More

Mtatiro na mwenzake watoa angalizo uchaguzi wa TLS

  WAKATI Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, ukitarajiwa kufanyika kesho Ijumaa na kumpata Rais wa kukiongoza chama hicho miaka mitatu, wakili Julius Mtatiro na Ally Kileo wamewachambua kwa undani wagombea hao sita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mawakili hao wanaogombea kwenye uchaguzi huo ni pamoja na Boniface Mwabukusi, Ibrahim Bendera,…

Read More

Asilimia 99 ya vijiji vyote nchini vimefikiwa na umeme

Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema asilimia 99 ya Vijiji vyote nchini vimefikiwa na nishati ya umeme. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Novemba 08, 2024 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu swali la la Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Rehema Lugangira aliyeuliza iwapo Serikali haioni haja ya kupitia upya mkataba wa REA ili kuifanya…

Read More