JICHO LANGU MAHAKAMANI: Mauaji ya muuza madini Mtwara

Dar es Salaam. “Kesi hii inaonesha hali ya kusikitisha na ya kushangaza, askari polisi ambao waliapa kulinda sheria na usalama wa maisha na mali za raia, sasa wameshtakiwa kwa kosa kubwa la kutisha la mauaji linaloweza kuharibu kabisa uaminifu wa kipekee uliowekwa kwao, badala ya kuwa kimbilio kwa watu wenye hofu, uwepo wao sasa unasababisha…

Read More

MBUNGE UMMY MWALIMU -KAZI YA MAENDELEO ILIYOFANYWA NA RAIS SAMIA MKOANI TANGA SIO YA KUTAFUTA KWA TOCHI

Na Oscar Assenga,TANGA MBUNGE wa Jimbo la Tanga Ummy Mwalimu amesema kazi ya Rais Dkt Samia Suluhu anayoifanya ya Maendeleo katika Mkoa wa Tanga sio ya kutafuta kwa Tochi. Ummy aliyasema hayo leo wakati akitoa salamu katika Kongamano la Samia Challenge 2024 ambalo limeandaliwa na African Anti-Violence Journalist lililofanyika Jijini Tanga kwenye ukumbi wa Samia…

Read More

Mashirikiano PURA, ZPRA yazidi kuimarika

Mashirikiano kati ya Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya Zanzibar yameendelea kuimarika kufuatia jitihada za dhati zinazofanywa na uongozi wa Taasisi hizo kutekeleza Hati ya Makubaliano waliyoingia mwaka 2022. Hayo yamedhihirika wakati wa kikao cha menejimenti za…

Read More