Nondo za Maaskofu kuhusu amani

Dar/Moshi. Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk Alex Malasusa, na Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Stephano Musomba, wamewataka Watanzania kudumisha amani, utulivu na ustahimilivu, huku wakisisitiza umuhimu wa kupenda kusema ukweli na kujiepusha na uongo. Viongozi hao wamesema hayo kwa nyakati tofauti leo Jumapili, Oktoba 19, 2025, jijini Dar…

Read More

Watoto wanne kati ya 15 wa Neema wapata ufadhili wa masomo

Morogoro. Hatimaye watoto wanne kati ya 15 wa marehemu Neema Kenge (39) wamepata ufadhili wa kusomeshwa shule ya bweni na Kituo cha Buloma Foundation iliyopo Kibaha mkoani Pwani, baada baba wa watoto hao kuomba msaada kutokana na kuzidiwa majukumu. Akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi, Novemba 21, 2024 Ofisa Maendeleo ya Jamii Kata ya Mbuyuni, Alicia…

Read More

Lema amtaka Mbowe kumwachia Lissu uenyekiti Chadema

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amemshauri mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Freeman Mbowe kusikiliza ushauri wa familia yake wa kumtaka kutogombea tena nafasi hiyo.Lema amesema Mbowe mara kadhaa amekuwa na nia ya kupumzika na kuwaachia nguvu mpya vijana kuendeleza mapambano, lakini watu wanaoitwa…

Read More

Maaskofu Katoliki wakemea utekaji, wataka viongozi wawajibike

Dar es Salaam. Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limelaani matukio ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini na kuvitaka vyombo vya dola kutimiza wajibu wake ipasavyo, ili  kurudisha heshima ya Tanzania iliyozoeleka ya kuwa ni  kisiwa cha amani. Mbali na hilo, maaskofu hao wamesema viongozi waliopo kwenye nafasi za kusimamia matukio hayo yasitendeke kama: “Hawakuwajibika…

Read More

SEKRETARIETI YA MAADILI MNAYO MAMLAKA YA KUFUATILIA UKIUKWAJI WA MAADILI YA VIONGOZI NCHINI, FANYENI HIVYO BILA KUONEA MTU”- Mhe. Ridhiwani Kikwete

Na Mwandishi wetu-Dodoma. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameitaka Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kuchunguza na kufuatilia kwa kina ukiukwaji wa maadili kwa Viongozi wa Umma ili kuwa na taifa lenye uadilifu kwa ustawi wa taifa. “Ninyi ndio wenye mamlaka ya…

Read More