Norris shubiri mpya kwa Verstappen

MBIO zilizopita za nchini Austria zilisisimua vilivyo wapenzi wa mashindano ya magari duniani (Formula 1) kutokana na kilichotokea kati ya madereva Max Verstappen na Lando Norris. Wakiwa wanafukuzana kwenye mbio sita za nyuma, wawili hao waliiingia kwenye vita ya kuwania ushindi wa mbio za Austria, na vita baina yao ilikwenda hadi mwishoni kabisa ilipobaki mizunguko…

Read More

TBA yabuni miradi kuendeleza sekta ya Kilimo,Mifugo na Uvuvi

  Meneja wa Mkoa wa Dodoma wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA),Mkadiriaji Majenzi, Qs. Emanuel Wambura,akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda TBA kwenye Maonesho ya Kilimo Kitaifa ya Nane Nane, yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni,jijini Dodoma *Yajenga Vihenge vya kuhifadhi mazao katika Mikoa Mitatu Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Dodoma WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA)…

Read More

Aucho ampa mzuka Gego Singida Black Stars

KIUNGO wa Singida Black Stars, Khalid Habib ‘Gego’ amesema ndoto imetimia baada ya uongozi kuinasa saini ya Khalid Aucho, mchezaji ambaye amekuwa akimfuatilia na kujifunza vitu kutoka kwake sasa atacheza naye timu moja. Mwanaspoti liliwahi kufanya mahojiano na kiungo huyo ambaye alidai kumkubali Aucho kipindi anacheza Yanga , ila sasa ni rasmi watacheza pamoja msimu…

Read More

Swissport Tanzania yatangaza faida ya Sh8.6 bilioni

Dar es Salaam. Kampuni ya huduma za usafiri wa anga nchini Tanzania, Swissport Tanzania PLC, imetangaza kupata faida kabla ya kodi ya Sh8.6 bilioni kwa mwaka wa fedha uliomalizika Desemba 31, 2024. Hayo yamebainishwa na Kaimu Ofisa Mtendaji Muu wa Swissport Tanzania PLC, Shamba Mlanga  katika Mkutano Mkuu wa 40 wa mwaka wa wanahisa uliofanyika…

Read More

Maestro: Azam FC tatizo kila msimu ina timu mpya

Mchezaji wa zamani na mchambuzi wa soka, Ibrahim Masoud ‘Maestro’ amesema kutolewa kwa timu za Zanzibar za JKU na Uhamiaji kunatokana na ubora mdogo wa wachezaji, wakati Azam wao wakisumbuliwa na kukosa muunganiko. Maestro, aliyewahi kuichezea KMKM ya Zanzibar amesema timu za visiwani humo zina tatizo la ubora mdogo wa wachezaji tofauti na zamani ambako…

Read More