Rais Samia ataka utafiti rasilimali watu sekta ya afya

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Afya ikamilishe utafiti wa kitaifa, unaoangalia hali halisi ya rasilimali watu katika sekta ya afya Tanzania ili kupata takwimu za nguvu kazi iliyopo ndani na nje ya vituo vya tiba na hatimaye kukabiliana na upungufu uliopo. Rais Samia pia ameiagiza Ofisi ya Waziri Mkuu kuimarisha…

Read More

Aviator kukupa Simu ya Kisasa mwezi huu

MWEZI huu wa Julai, wapenzi wa michezo ya mtandaoni wana fursa ya kipekee ya kushinda simu za kisasa za Samsung A25 na kupata pesa nyingi zaidi kwa kushiriki katika promosheni ya Aviator inayotolewa na Meridianbet. Kuanzia tarehe 1 Julai hadi mwisho wa mwezi, wachezaji watapata nafasi ya kushinda moja kati ya simu nane za Samsung…

Read More

Mtibwa Sugar yajipanga kumrejesha Kawemba

BAADA ya Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu Bara, mabingwa hao wa zamani wako katika mazungumzo ya kumhitaji Saad Kawemba ashike nafasi ya Mtendaji Mkuu wa klabu ikiamini uzoefu wake utakuwa msaada katika maeneo mbalimbali. Chanzo cha taarifa hiyo kutoka ndani ya Mtibwa, kinasema jambo hilo linafanyika chini ya uongozi wa serikali ya mkoa wa Morogoro,…

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AKAGUA MAANDALIZI MAADHIMISHO SIKU YA MASHUJAA 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga  tarehe 10 Julai, 2024 amekagua maandalizi ya Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa inayotarajiwa kufanyika tarehe 25 Julai, 2024 jijini Dodoma. Mhe. Ummy ameridhishwa na maandalizi hayo yanayoendelea na anaimani kwamba maandalizi hayo yatazidi kufanyika vizuri na yatakamilikalika…

Read More

Muuza barakoa aliyepigwa risasi kwenye maandamano afariki

Dar es Salaam. Taarifa kutoka nchini Kenya zinasema kijana muuza barakoa aliyepigwa risasi kwenye hekaheka za maandamano ya Juni 17, 2025 amefariki dunia. Kijana huyo kutoka Nairobi aliyejulikana kwa jina Boniface Kariuki alionekana kwenye kipande cha video akipigwa risasi kichwani na polisi kwa karibu akiwa katika moja ya mtaa wa jiji hilo. Vyombo vya habari…

Read More